Recent content by Ihoyelo

  1. Ihoyelo

    Sheria yetu ya madini na wabunge wasioelewa dhima yao

    Mimi kwa akili yangu waliopitisha sheria ya madini kwa kuunga mkono na chama chao nadhani walete marekebisho ya hiyo sheria siyo kulaumu waliokuwa wakiiķataa wakati ule
  2. Ihoyelo

    Lema: Kuna uwezakano wa Mayor/ wenzake kuwepo mahabusu mpaka wiki ijayo. Lakini kila mtu ajue

    Serikali inapolazimisha rambirambi lazima zipitie kwao ni utawala wa awamu hii ingekuwa michango ya vita vya Kagera si wangetajirika sana
  3. Ihoyelo

    Prof Lipumba & Mrema kwenye dhifa ya Zuma Ikulu, nini tafsiri yake kwa upinzani?

    Mawakala wa ccm katika kuvuruga vyama visifanikiwe
  4. Ihoyelo

    CUF ipo siku mtamkumbuka Profesa Lipumba

    Sasa ueleze maana umejijibu Cuf pamoja na huyo lipumba wako ulitarajia bara ungepata viti vingapi?
  5. Ihoyelo

    Jinsi mbunge Ramadhan Kihiyo alivyojiuzulu baada ya kashfa ya kufoji vyeti

    Kwa sababu aligushi vyeti huyu mama ametuletea maigizo tu be hakuna la maana nadhani walikuwa wanasherehekea kuamzishwa Udom siyo vyeti feki
  6. Ihoyelo

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Loo! Ama kweli hili zoezi naona ni mchezo wa kuigiza ina maana uwe na cheti cha kugushi ukiteuliwa kuwa waziri ndiyo basi tena mbona mama umeleta vichekesho kwani uliowasema wana misamaha ya kuhakikiwa vyeti walisoma shule zipi na kwa mfumo upi niamini kama ninavyojiaminisha viongozi wengi wa...
  7. Ihoyelo

    Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    Maswali mengine ni sswa kuuliza baba na mama nani mwenye mamlaka ndani ya nyumba
  8. Ihoyelo

    Waandishi wa habari wamshangaa Mwakyembe na jeshi la Polisi kutowachukulia hatua wafuasi wa Lipumba

    Polisi shughuli zao hazitafanikiwa kwa sababu si rafiki wa raia kama issue hii huyo mwenyekiti kafanya vurugu gani wakati wahusika wamekiri kwa kauli ya Kambaya basi tuamini serikali inahusika kwa suala hili na kuruhusu hata bastola kutumika kwa tukio kama lile
  9. Ihoyelo

    Kwanini Mbowe hajaitisha Mkutano Mkuu kuhusu tuhuma zilizomkabili?

    Kwani chama hakijui kwa nini hajaitsha mkutano sasa wewe ni mjumbe wake katika mkutano huo andamana na wenzio mshinikize mkutano
  10. Ihoyelo

    CCM Kwanini mnataka Makamanda Edward Lowassa, Freeman Mbowe Na Frederick Sumaye Wajiuzulu Siasa?

    Woga umewatawala badala ya magufuli hawana mgombea anayeweza kushindana na vigogo hao kuwataka wastaafu wao wapate unafuu
  11. Ihoyelo

    Tetesi: Watu wa Mkuranga wanalalamika kupigwa na Polisi

    Kama kweli kitu kama hicho kimetokea polisi wategemee sifuri kufanikisha zoezi lao hatuendi hivyo hata wakati wa vita tulifanikiwa kwa ushirikiano na wananchi wa Uganda ila tahadhari lazima iwepo kwa sababu unakuwa hujui mwema na msaliti
  12. Ihoyelo

    Mauaji ya Polisi: Mwigulu azungumzia vilivyohisiwa visababishi vya sintofahamu hiyo

    Kwa hili lazima jeshi la polisi libebe lawama nasema hivyo kwa sababu kila tukio la kuuwawa kwa askari kauli za kujipanga zimekuwa ndiyo kipaumbele kwao tokea tukio la kwanza kutokea ilipaswa makachero wa idara zote wapelekwe sehemu ya tukio kwa uchunguzi wa muda mrefu yameendelea kutokea kauli...
  13. Ihoyelo

    Rais Magufuli: Nasubiri ripoti ya wafanyakazi waliofoji vyeti

    Cha kwake hakijahakikiwa kwa hiyo msitegemee kuwemo hicho ni cha kwenye mitandao tu anayebisha tusubiri
  14. Ihoyelo

    Nadhani ujumbe umefika, hakuna tena mwingine atakayekuja na 'single' ya kejeli kwa viongozi

    Kwa Watz haiwezekani kwa sababu hamjiamini mkipewa kofia na fulana utafikiri umepewa mgodi na una sahau kama mlishindwa 2015 sijui
  15. Ihoyelo

    Nitajieni viongozi wenye uthubutu awamu ya tano.

    Nimemwona ni Nape
Back
Top Bottom