CCM Kwanini mnataka Makamanda Edward Lowassa, Freeman Mbowe Na Frederick Sumaye Wajiuzulu Siasa?

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
Hakika threads za kuwataka Makamanda wa Chadema kina Mbowe , Lowassa Na Sumaye Wajiuzulu zimeongezeka .Sielewi Kwa nini CCM inataka wajiuzulu.Binafsi najua ni Woga wa CCM Kwa Viongozi hao.Kuthibitisha hilo CCM imediriki kuzuia mikutano ya vyama vya siasa lakini CCM inafanya mikutano ya Hadhara.Maendeleo ya Nchi hii yamepatikana huku Chama/Vyama vikifanya mikutano ya hadhara lakini awamu hii inayowata kina Mbowe, Lowassa Na Sumaye waache Siasa inadai eti maendeleo hayapatikani kama kuna mikutano ya Vyama kumbe ni kuuogopa Upinzani.
 
Hakika threads za kuwataka Makamanda wa Chadema kina Mbowe , Lowassa Na Sumaye Wajiuzulu zimeongezeka .Sielewi Kwa nini CCM inataka wajiuzulu.Binafsi najua ni Woga wa CCM Kwa Viongozi hao.Kuthibitisha hilo CCM imediriki kuzuia mikutano ya vyama vya siasa lakini CCM inafanya mikutano ya Hadhara.Maendeleo ya Nchi hii yamepatikana huku Chama/Vyama vikifanya mikutano ya hadhara lakini awamu hii inayowata kina Mbowe, Lowassa Na Sumaye waache Siasa inadai eti maendeleo hayapatikani kama kuna mikutano ya Vyama kumbe ni kuuogopa Upinzani.
Wananchi hawali mikutano ya hadhara.Hata hivyo mikutano ya hadhara imeruhusiwa kwa kila Mbunge kwenye Jimbo lake na wale wa Viti maalum kwenye mikoa yao.Kama hawafanyi hiyo mikutano ya hadhara basi ni kwa kutotaka kwao na si kweli kua wamekatazwa.
 
ccm yote iko kwenye kiganja cha Kamanda Lowassa , tena kiganja cha mkono wa kushoto , viongozi wa serikali wanamuogopa kwa kiwango cha kutetemeka wamuonapo , sasa cha kushangaza viongozi wote wa ccm kuanzia ngazi ya shina hadi Taifa wanamtii.
 
Hakika threads za kuwataka Makamanda wa Chadema kina Mbowe , Lowassa Na Sumaye Wajiuzulu zimeongezeka .Sielewi Kwa nini CCM inataka wajiuzulu.Binafsi najua ni Woga wa CCM Kwa Viongozi hao.Kuthibitisha hilo CCM imediriki kuzuia mikutano ya vyama vya siasa lakini CCM inafanya mikutano ya Hadhara.Maendeleo ya Nchi hii yamepatikana huku Chama/Vyama vikifanya mikutano ya hadhara lakini awamu hii inayowata kina Mbowe, Lowassa Na Sumaye waache Siasa inadai eti maendeleo hayapatikani kama kuna mikutano ya Vyama kumbe ni kuuogopa Upinzani.
Unajua uongozi mtu ukikaa sana unaanza kudhani kuwa wewe ni masihi au mtume uliyetumwa na mungu kutawala milele unakuwa na kitu kinaitwa messianic halucinations ambayo ni moja ya stage ya ukichaa.hao uliowataja wote akiwemo kingunge wana hilo tatizo.Lowasa na sumaye wangekuwa waliacha siasa toka walipoacha uwaziri mkuu wangekuwa na haɗhi kuɓwa kwa watanzania wote ɓila kujali vƴama haɗi leo.huyo mɓowe mtajijua wenyewe Chaɗema kama yeye ni mwenyeƙiti wa maisha wa Chaɗema mshinɗe uchaguzi au mshinɗwe yeye anatakiwa aenɗelee hayo ni yenu siwaingilii
 
Hakika threads za kuwataka Makamanda wa Chadema kina Mbowe , Lowassa Na Sumaye Wajiuzulu zimeongezeka .Sielewi Kwa nini CCM inataka wajiuzulu.Binafsi najua ni Woga wa CCM Kwa Viongozi hao.Kuthibitisha hilo CCM imediriki kuzuia mikutano ya vyama vya siasa lakini CCM inafanya mikutano ya Hadhara.Maendeleo ya Nchi hii yamepatikana huku Chama/Vyama vikifanya mikutano ya hadhara lakini awamu hii inayowata kina Mbowe, Lowassa Na Sumaye waache Siasa inadai eti maendeleo hayapatikani kama kuna mikutano ya Vyama kumbe ni kuuogopa Upinzani.
Mpaka leo Sizonje hajapata dira ya kuongoza nchi. Bado anakimbizana na kivuli cha Masai...

KWELI MASAI SIO WA MCHEZO...
 
Wananchi hawali mikutano ya hadhara.Hata hivyo mikutano ya hadhara imeruhusiwa kwa kila Mbunge kwenye Jimbo lake na wale wa Viti maalum kwenye mikoa yao.Kama hawafanyi hiyo mikutano ya hadhara basi ni kwa kutotaka kwao na si kweli kua wamekatazwa.
"...watu wengine hufikiri kwa kutumia makalio... ". - Dr. Didas Masaburi, DSM 2012.
 
Unajua uongozi mtu ukikaa sana unaanza kudhani kuwa wewe ni masihi au mtume uliyetumwa na mungu kutawala milele unakuwa na kitu kinaitwa messianic halucinations ambayo ni moja ya stage ya ukichaa.hao uliowataja wote akiwemo kingunge wana hilo tatizo.Lowasa na sumaye wangekuwa waliacha siasa toka walipoacha uwaziri mkuu wangekuwa na haɗhi kuɓwa kwa watanzania wote ɓila kujali vƴama haɗi leo.huyo mɓowe mtajijua wenyewe Chaɗema kama yeye ni mwenyeƙiti wa maisha wa Chaɗema mshinɗe uchaguzi au mshinɗwe yeye anatakiwa aenɗelee hayo ni yenu siwaingilii
Nonsense..
 
"...watu wengine hufikiri kwa kutumia makalio... ". - Dr. Didas Masaburi, DSM 2012.
Anayefikiria kua kuna watu hufikiria kwa kutumia makalio yeye ndiye akili zake ziko kwenye makalio na hufikiria kutumia makalio yake.Wewe ni mmoja wao kwa uliyoandika hapo juu.
 
Wasipoangalia wanakwenda kuisha taratibu kama Mremah.Kustaafu ukiwa na heshima japo kidogo ni muhimu.Wamuulize Kingunge.Kwa sasa anawakwepa waasisi wenzake wa CCM.Anajificha.Kibaya zaidi 2020 Mbowe anakuja na mgombea mwingine.Mmasai kwa sasa anatumika tu huku akitumia na pesa yake kidogo kujaribu kuijenga CHADEMA.Amuulize Dr Slaa.
 
Lazima woga uwashike cz wanajua fika this tyme wamepata mwenyekiti wa ajabu kuwahi kutokea katika chama chao.
 
Always, politicians are politicians. You can never ever baptise them otherwise.
Oɓama ,bush ,moi,kibaki,thabo mɓeki,kaunɗa etc are no longer politicians.Kunaoffice ukifikia u neeɗ to retire permanently uachie watoto wako pia wajariɓu hutaƙiwi kufia ƙwenye siasa waachie na watoto wape nafasi.waige raisi mwinyi angekuwa mroho baaɗa ya uraisi wa muungano angeenɗa kugomɓea zanziɓar waliƙuwa wanamtaka akawe raisi kule tena
 
Anayefikiria kua kuna watu hufikiria kwa kutumia makalio yeye ndiye akili zake ziko kwenye makalio na hufikiria kutumia makalio yake.Wewe ni mmoja wao kwa uliyoandika hapo juu.
Sijayasema mimi hayo.. Mimi nimenukuu tu... Msemaji unamjua.

Nilikuwa nafikiri wachaga wote wana akili, kumbe kuna baadhi ni VISHOIYA...
 
Back
Top Bottom