Recent content by igwee frm anambra

  1. igwee frm anambra

    Ibrahim Traore, Rais kijana, alovuviwa Roho ya Hayati Magufuli, anayepaswa kuigwa na Vijana wa Tanzania. Burkina Faso sasa inachanua

    Ouagadougou (Wagadugu) ni mji mkuu wa nchi ya Burkina Faso....Chato ni wilaya ya mkoa mpya wa Geita.
  2. igwee frm anambra

    Sehemu gani inafaa kufungua fremu ya Biashara ya nafaka kwa Dar es Salaam?

    Hiyo sio biashara ya kuulizia humu, fanya tafiti mwenyewe.....wauza mchele hawapo JF....hata mmoja.
  3. igwee frm anambra

    Kusema ukweli Dar es Salaam ni pazuri

    Km una hela isiyokuwa na mawazo, hakuna sehemu isiyokuwa nzuri Tanzania. Nawashauri vijana muelekeze bidii kwenye kutafuta hela na sio kupoteza muda mitandaoni... Hapo Daresalam ukikosa pesa panageuka kuwa Jehanam, tofauti na Njombe.
  4. igwee frm anambra

    Mnaokunywa Pombe kwanini mnatushawishi tusiokunywa?

    Ukinywa pombe kwa kiasi responsibly ....unakuwa mtu mwenye afya njema,furaha na Amani. .. Ukinywa kupita kiasi pombe inageuka inakuwa sumu.... ni hatari sana kwa afya yako na hutokuwa mtu mwenye furaha na amani, inakugeuza unakuwa mwehu. Swali: Kiasi ni unit/chupa ngapi? Jibu; Inategemea afya...
  5. igwee frm anambra

    Uzi maalum wa kupeana faraja hasa tuishio mbali na familia zetu. Tukitafuta Maisha ya kesho

    Naomba nisikujibu hili swali mkuu, (km ni kweli) naishia kwa kusema pole kwako.. maana unaweza jikuta unazeekea na kuishia huko....maana sidhani km utaweza jichanga nauli ya kurudi home. Hiyo nchi haijawahi jielewa.
  6. igwee frm anambra

    Marriage is an outdated concept

    Hata zamani ilikuwa ni lazima kuwa macho.
  7. igwee frm anambra

    Marriage is an outdated concept

    Ndoa _____ Sio kila mwanaume anaweza kuoa na sio kila mwanamke anaweza kuolewa"....marriage is not for everyone" kwani si kila anayeonekana mwanaume ni mwanaume & mwanamke ni mwanamke .. nisiingie in details. ..kuoa/kuolewa na kuishi kwenye ndoa yenye amani ni ndoto ya kila mwanaume na...
  8. igwee frm anambra

    Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

    Mbona Skudu Makudubela amezamia Tanzania? Acha fix.
  9. igwee frm anambra

    Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

    Be imnandi le ndawo. Mara now I'm not sure.
  10. igwee frm anambra

    Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

    .....enzi za kina Tkzee, Mdu Masilela, Arthur Mafokate, Zola7..... huku unakutana na Mapanstula...yaani ni ilikuwa ni full vibe[emoji3]
  11. igwee frm anambra

    Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

    Mtoa mada umesahau kutambua kwamba kila mwanaume anatakiwa aitengeneza Dunia yake mwenyewe na kuiishi......owa mwanamke type yako" utakayeweza kumkontroo kimwili, kiroho na kiuchumi Haya mambo ya 50/50 yapo humu mitandaoni,...90% ya wanawake duniani hawana taarifa nayo ... ni wewe vile...
  12. igwee frm anambra

    Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    Km una hofu ya Mungu na unataka ndoa yenye utulivu, ambayo mtatunzana hadi uzeeni " oa mwanamke mtulivu anayekupenda, mama wa nyumbani,.. mwenye hofu ya Mungu. #km una hofu ya Mungu. Nje ya hapo ndoa inakuwa "time bomb" ..it's just a matter of time.
Back
Top Bottom