Km una hela isiyokuwa na mawazo, hakuna sehemu isiyokuwa nzuri Tanzania.
Nawashauri vijana muelekeze bidii kwenye kutafuta hela na sio kupoteza muda mitandaoni...
Hapo Daresalam ukikosa pesa panageuka kuwa Jehanam, tofauti na Njombe.
Ukinywa pombe kwa kiasi responsibly ....unakuwa mtu mwenye afya njema,furaha na Amani. ..
Ukinywa kupita kiasi pombe inageuka inakuwa sumu.... ni hatari sana kwa afya yako na hutokuwa mtu mwenye furaha na amani, inakugeuza unakuwa mwehu.
Swali: Kiasi ni unit/chupa ngapi?
Jibu; Inategemea afya...
Naomba nisikujibu hili swali mkuu, (km ni kweli) naishia kwa kusema pole kwako.. maana unaweza jikuta unazeekea na kuishia huko....maana sidhani km utaweza jichanga nauli ya kurudi home.
Hiyo nchi haijawahi jielewa.
Ndoa
_____
Sio kila mwanaume anaweza kuoa na sio kila mwanamke anaweza kuolewa"....marriage is not for everyone" kwani si kila anayeonekana mwanaume ni mwanaume & mwanamke ni mwanamke .. nisiingie in details.
..kuoa/kuolewa na kuishi kwenye ndoa yenye amani ni ndoto ya kila mwanaume na...
Mtoa mada umesahau kutambua kwamba kila mwanaume anatakiwa aitengeneza Dunia yake mwenyewe na kuiishi......owa mwanamke type yako" utakayeweza kumkontroo kimwili, kiroho na kiuchumi
Haya mambo ya 50/50 yapo humu mitandaoni,...90% ya wanawake duniani hawana taarifa nayo ... ni wewe vile...
Km una hofu ya Mungu na unataka ndoa yenye utulivu, ambayo mtatunzana hadi uzeeni " oa mwanamke mtulivu anayekupenda, mama wa nyumbani,.. mwenye hofu ya Mungu.
#km una hofu ya Mungu.
Nje ya hapo ndoa inakuwa "time bomb" ..it's just a matter of time.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.