Bidens pilosa, commonly known as Black Jack, is a flowering plant in the Asteraceae family. It is native to the Americas but has spread to many tropical and subtropical regions worldwide. Here are some key points about this plant:
### Description:
Appearance: It is an annual or perennial herb...
Mleta uzi utakuwa ni kijana mfupi sana...kiurefu na kiakili
Huna confidence halafu umekolea kwa mshangazi....pole sana, ..umeshanasa, huna namna, umeshapigwa na limbwata la kuteketeza....kuchomoka hapo you need a divine intervention not otherwise.
Bon voyage.
Mimi ni mkristo
Nashauri Kijiji cha Israel kisipimane ubavu na Iran
Kitafutika kwenye uso huu wa Dunia.
NB. naomba kila member wa JF aitunze comment hii. ..
For the future references.
Km una hela isiyokuwa na mawazo, hakuna sehemu isiyokuwa nzuri Tanzania.
Nawashauri vijana muelekeze bidii kwenye kutafuta hela na sio kupoteza muda mitandaoni...
Hapo Daresalam ukikosa pesa panageuka kuwa Jehanam, tofauti na Njombe.
Ukinywa pombe kwa kiasi responsibly ....unakuwa mtu mwenye afya njema,furaha na Amani. ..
Ukinywa kupita kiasi pombe inageuka inakuwa sumu.... ni hatari sana kwa afya yako na hutokuwa mtu mwenye furaha na amani, inakugeuza unakuwa mwehu.
Swali: Kiasi ni unit/chupa ngapi?
Jibu; Inategemea afya...
Naomba nisikujibu hili swali mkuu, (km ni kweli) naishia kwa kusema pole kwako.. maana unaweza jikuta unazeekea na kuishia huko....maana sidhani km utaweza jichanga nauli ya kurudi home.
Hiyo nchi haijawahi jielewa.
Ndoa
_____
Sio kila mwanaume anaweza kuoa na sio kila mwanamke anaweza kuolewa"....marriage is not for everyone" kwani si kila anayeonekana mwanaume ni mwanaume & mwanamke ni mwanamke .. nisiingie in details.
..kuoa/kuolewa na kuishi kwenye ndoa yenye amani ni ndoto ya kila mwanaume na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.