Recent content by Ignatius31

  1. I

    UDSM cha 32 kwa ubora Afrika na cha 2021 duniani

    Not several years,its just few years kama administratiin itaendelea kukaza kama ninavyowajua
  2. I

    UDSM cha 32 kwa ubora Afrika na cha 2021 duniani

    Umeambiwa walikuwa wanapanga kwa wingi wa mvi kwenye chuo,? Moto wa udom wanaujua waajiri au wachache waliowahi kuwa kwenye interview na hizi product,wewe pigs domo without evidence,keep it up udom
  3. I

    UDSM cha 32 kwa ubora Afrika na cha 2021 duniani

    Hongera kwake kiukweli.5_8 years to come will be the leading
  4. I

    UDSM cha 32 kwa ubora Afrika na cha 2021 duniani

    Kwa takwimu zilizotoka jana,national ranking,top five,UDSM inaongoza,UDOM inafuata kutoka nafas ya tano mwaka Jana,SUA kinafuata kutoka ya pili,Mzumbe no4 kutoka ya 3 MUHAS no 5 kutoka no 4 mwaka Jana..Hizi n salamu tu kwa vyuo vikongwe kutoka kwa UDOM ambayo inasherekea mahafali ya 7 tu...
  5. I

    UDSM cha 32 kwa ubora Afrika na cha 2021 duniani

    SUA cha 67,UDOM 65 UDSM 36,mzumbe na muhimbili mia na kitu huko
  6. I

    UDSM cha 32 kwa ubora Afrika na cha 2021 duniani

    From uniranking n 35 bro,s 32 kwa takwimu zilizotoka jana
  7. I

    Hili la kurudisha walimu wa sekondari msingi ni la kitaalamu au kubana matumizi

    mwalimu mkweli Mifumo ya kutazama karibu hii ndo inayofanyaga watu wanafumuafumua taratibu zilizowekwa kwa kukurupuka, baada ya awamu myingine kuingia.japo wanakuwa washaharibu tayari kizazi fulani
  8. I

    Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

    Mmh DRAG ME TO THE HELL n level myingine,nilishashindwa kuizoea
  9. I

    Nataka kuwa doctor naombeni ushauri

    Clinical office siyo daktari kijana.unakasafar bado.kaza.
  10. I

    Nina wasiwasi na elimu inayotolewa Kampala International University tawi la Dar

    Udom inatishia usalama na hadhi ya vyuo vya watu...kumbuka udsm ilikoanzia kulikuw kubaya zaidi huenda kuliko udom
  11. I

    Nina wasiwasi na elimu inayotolewa Kampala International University tawi la Dar

    Akili yako ndogo jamaa yangu.hivi unamiaka mingapi umri? Hivi hujui suala LA taaluma kuingiliw na siasa n tatizo LA kitaifa?? Au huoni kinachoendelea? Muwe mnachagua vitu vya kuzungumza s kujichora
Back
Top Bottom