Umeambiwa walikuwa wanapanga kwa wingi wa mvi kwenye chuo,? Moto wa udom wanaujua waajiri au wachache waliowahi kuwa kwenye interview na hizi product,wewe pigs domo without evidence,keep it up udom
Kwa takwimu zilizotoka jana,national ranking,top five,UDSM inaongoza,UDOM inafuata kutoka nafas ya tano mwaka Jana,SUA kinafuata kutoka ya pili,Mzumbe no4 kutoka ya 3 MUHAS no 5 kutoka no 4 mwaka Jana..Hizi n salamu tu kwa vyuo vikongwe kutoka kwa UDOM ambayo inasherekea mahafali ya 7 tu...
mwalimu mkweli Mifumo ya kutazama karibu hii ndo inayofanyaga watu wanafumuafumua taratibu zilizowekwa kwa kukurupuka, baada ya awamu myingine kuingia.japo wanakuwa washaharibu tayari kizazi fulani
Akili yako ndogo jamaa yangu.hivi unamiaka mingapi umri? Hivi hujui suala LA taaluma kuingiliw na siasa n tatizo LA kitaifa?? Au huoni kinachoendelea? Muwe mnachagua vitu vya kuzungumza s kujichora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.