Yaani hawa jamaa mwisho wao Kimara-Mwisho hata Ubungo Mataa hawavuki!! Bora hata wangekuwa hawaonyesha mlengo wao kisiasa. Lakin :peace: hawawezi!! Maccm hawawez kubali utaona kitakacho tokea!!!
Tunashindwa kutofautisha kati ya upole na uzoba. Kati ya Nchi ambayo wananchi wake hawawezi ku-react mwenye issue serious basi ni Tanzania. Yani Bure kabisa. Wakati mwingine nakatatamaa na kusema wacha wanasiasa wale tu. Pumbavu kabisa
Yani nimeshikwa na hasira ambayo sikuwahi kuipata karibuni. Ndugu zangu CCM niwahuaji kabisa wanalindana. Huwezi kuamini Yule Mwarabu pale bungeni kahairisha kikao.Pumbavu kabisa
Hii ndo CCM, na chakushangaza Star tv wamekata mitambo yao ili tusiangalie BBC dira ya dunia. Ikiaminika imeandaa habari hii kwa ufanisi Mkubwa.Naichukia CCM
Kwa Al jazeera nadhani wauzaji wapo wengi, Lakini najua duka moja linaitwa Levi electronics maeneo ya Kariakoo mtaa wa Livingstone & Udowe au Space electronics maeneo ya Mivinjeni- Kurasini.
Canalsat ningumu kidogo kupata, kuna jamaa mmoja yupo pale ambassador de France Osterbay unaweza weka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.