Haya ndo madhara ya kuivumulia CCM mpaka leo ingekuwa imetoka madarakani haya yasingekuwepo maana maisha yamekaza mpaka vijana wanafanya mambo ya ajabu.
Mimi namruhusu afanye kwangu chochote anachoweza katka biashara zangu ila swala la kutubu ni kwa Mungu. Maana ameona tumenyamaza kwa manyanyaso na chuki zote alizotufanyia kaamua hatusheke na pa kunyea maana kaona sisi maanisi aje tu.
Ndugu wana jf poleni na majukumu ya kila siku.
Mimi Igirimo naomba kuelimishwa. Ni kweli kuwa mkuu wa gereza ana mamlaka ya kumuachia mtu aliyehukumiwa kifungo fulani kwa vigezo atakapitia yeye au kumbadilishia adhabu ya kifungo cha nje badala ya ndani?
Au mkuu wa gereza au magereza ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.