Recent content by ighembe

  1. I

    Wanawake wasiokuwa na magari ni wachafu

    Najaribu kuitafuta true point kwenye uzi wako.Naona kama ulitaka tu tujue unalo gari, na pengine una uzoefu kupanga meeting appointments na wanawake tofauti tofauti.Kama wewe ni wa kiwango hicho bro na bado unawaita wanawake wasio na magari basi uwezo wako ni wa kuwamudu wa bodaboda japo gari...
  2. I

    Mbinu zitumikazo kuiba pesa nyingi kwa kudukua taarifa za mashine ya ATM

    Hajasema kuwa amekufa,bali alihukumiwa adhabu ya kifo kwa kunyongwa.
  3. I

    Rais Donald Trump asitisha ajira zote za umma kwenye serikali kuu isipokuwa jeshi

    Soma hiyo hotuba ya kiingereza ya Trump ulinganishe na post ilotangulia
  4. I

    Marekani wameanza kuiga siasa za Tanzania!

    We ndo haupo sawa kwa kushindwa kupanua mawazo.Sidhani kama ishu ya mwenye thread ni kuihusudu marekani,na siamini kwamba hatuna good leadership practices zinazoweza kuigwa.Yes,tunaweza kuwa na mengi mazuri ya kuigwa lkn tambua hawa watu weupe hawataiga simply because wamejawa na majivuno,dharau...
  5. I

    Kupanda gari za magazeti,nimekoma

    Kwa ajili ya mashindano labda
  6. I

    Kupanda gari za magazeti,nimekoma

    Tochi(speed cam) zinatumika usiku?au mlisafiri mchana?
  7. I

    MAREKANI: Siku moja baada ya kuapishwa, watu zaidi ya 250,000 waandamana kumpinga Donald Trump

    Hujajibu swali langu lina mantiki mkuu.Ikiwa watu wawili kati ya kumi wanakukataa hatuwezi conclude kuwa hutakiwi na watu wote.Sasa kama idadi ya wanaoandamana kumpinga ni kubwa kuliko ya wale waliomkubali (kwa dhati na kwa shingo upande) hapo tutasema kuwa Trump hatakiwi kuwa kiongozi
  8. I

    MAREKANI: Siku moja baada ya kuapishwa, watu zaidi ya 250,000 waandamana kumpinga Donald Trump

    Hivi wanaoandamana ni wengi kuliko ambao hawajaandamana?
Back
Top Bottom