Moyo una hofu kubwa .
Ni kama wingu lilotanda usiku wa manane .
😭😭😭😭
sidhani kama Bado yupo hai .
EEH MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI ONYESHA NJIA HIZI HISIA ZANGU ZISIWE ZA KWELI 😭😭😭
Daah Asante sana, ni kwel alikua anamaanisha kweli kweli , maana yeye anasemaga n mtu wa GIZA , baada y kushidwa mahakaman amekuwa mnyonge , Ahsante kwa ushauri wako maana nilipaga kufungua kesi ya MADAI ,kwa ushauri wako wacha nikae kimia
Kuna mtu aliwahi kunitamkia kwamba , atafanya kila jambo ili anipoteze magerezan yuko yatari kufilisika , yaani kuuza Mali zake zote kw lengo la kunipoteza , bahati nzur au mbaya Hiyo kesi ilienda police hatimae mahakamani na alishidwa , JE KWA MANENO ALIYE JITAMKIA MWENYEW KWAMBA YUKO YATARI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.