Mkuu kwanza Pole sana
Pili; Jambo lako linatibika, ila kwasababu umeamua kutumia solution ya waganga, mimi sijui chochote kuhusu upande wa giza, ukitaka upande wa nuru niambie nikusaidie hapahapa
Mkuu biashara sio rahisi hivyo. Biashara unaanza na faida moja kwa moja haipo, Huna maarifa na hiyo biashara, hujapambana kwenye ulimwengu wa roho na kushinda, hujaanguka na kujifunza kutokana na makosa, wewe moja kwa moja faida, sio kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.