TZS 30,000.00 Debited from ac XX0009727 REF:Asssskizimkazi REF:06$$$&&1713374@@@-TIPS IFO ALUTE SIMON on 31-DEC-25. Keep your Password & PIN confidential.
Ankori sjakuelewa unaposema watangaze uongo kwa sabab walitangaza uongo wa kura milion 32, unatoa hoja kwamba 10k kungekuwa na msiba kila sehem. Kama wewe lile janga halikukufikia basi usitukejeri tuliofikwa.
Mie hapa jirani yangu next door mwanae walikutwa wakiwa watatu kwa mama lishe...
Wambura alitangaza kwenye tv watu wote wasitoke ndani, kutakuwa na opreration maalum.
Sasa hiyo operataion maalum ndo uliyozaa risasi ambazo zingine ziliwafuata watu majumban mwao
Nimerudia tena kusoma nikiwa nimetulia, kuna vitu umeviandika in a simple way but but but…… napata kigugumiz
Mkuu umedokeza maneno machache sana, lakin….. lakini…. lakini…….
Mwamba MALCOM LUMUMBA kwenye moja ya thread zake za hivi karibuni anasema Tanzania tuliona na kuiishi na kuizoea HAIPO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.