Recent content by Idiot Imbecile

  1. I

    JamiiForums Tanzania Iran imeshinda Vita lakini Mojtaba Khamenei hatahudhuria mazishi ya Babaake. Inakupa ujumbe gani?

    Iran wameionyesha dunia ni wanaume wa shoka haswa
  2. I

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Wewe lazima utakuwa umejiunga kwenye chama kubwa la Chaputa
  3. I

    JamiiForums Tanzania Masaki na Oysterbay Baada ya Miaka 7 itakuwa ya wachina

    Acha wajenge tu Masaki sio mbinguni
  4. I

    JamiiForums Tanzania Masaki na Oysterbay Baada ya Miaka 7 itakuwa ya wachina

    Wakijaa wazungu na waarabu hamna noma, ila wachina kelele nyingi. Acheni ubaguzi
  5. I

    JamiiForums Tanzania Serikali imkamate Sheikh Mwaipopo, acheni double standards. Haya mambo ndio yanachochea chuki na kuligawa Taifa

    Wadau watamtembelea kama walivyofanya kwa shishi beibe!
  6. I

    JamiiForums Tanzania Nawashauri ndugu zangu mtakaonunua mishumaa hakikisha mnaiweka sehemu salama

    Yaani mimi ni wa kwenda bar kwa ajili ya kucharge simu kweli?
  7. I

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hawajitambui kabisa mnasema Rais hayupo kihalali mbona kila siku mnaomba kuridhiana

    Chadema ipate wabunge wengi kwa sheria hizi hizi za uchaguzi na tume hii hii ya uchaguzi?
  8. I

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Sasa Chama cha majambazi wana tofauti gani na wakoloni
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Djed Spence mchezaji mweusi wa England kukataa kumsalimia Thomas Partey ni cha kuhuzunisha

    Jamaa ana haki ya kumsalimia anayemtaka. Kwani akikubali au kukataa kumsalimia nini kinapungua kwa Partey?
  10. I

    JamiiForums Tanzania Msigwa ajibiwa, The greatest risk is not the loss of €156 million. Nor is visa restrictions. The greatest risk is a change in Tanzania perception

    No reform no election Tlaatlaah akiona hii slogan anatamani kujikojolea, na machawa wenzie!
  11. I

    JamiiForums Tanzania Ifanyike sensa, Wazanzibar wote wanaofanya kazi zisizo za muungano bara warudishwe kwao

    Shirika sio la muungano. Zanzibar nao wana shirika lao huko, linalofanya kazi sawa na la huku bara. Wao wameajiriwa la huku bara wakati nao kule kuna shirika lao.
  12. I

    JamiiForums Tanzania Ifanyike sensa, Wazanzibar wote wanaofanya kazi zisizo za muungano bara warudishwe kwao

    Meza unayotikisa ina vinywaji vya gharama sana! Mwaka juzi nilipata ajira kwenye shirika fulani la umma, kuna vijana wengi sana wa kizanzibari tuliajiriwa nao. Lakini kule Zanzibar nao wana shirika lao kama hilo linalojitegemea.
  13. I

    JamiiForums Tanzania Kosa Hili Liliwagarimu Samsung, Google Pixel Wakawapiga Bao

    Bora nitumie Tekno kuliko Pixel na Imphinix Iphone, Samsung na Huawei wana dunia ya peke yao!
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kipindi unachezea ujana wako na Wahuni, weka akilini kwamba hakuna mwanaume anayeoa Scraps

    Mwanaume mjinga! Kuna haja kubwa ya kujua past ya mwanamke kabla hujamuoa. Unaoa mwanamke mara hashiki mimba kumbe kachomoa mimba kibao.
Back
Top Bottom