Recent content by IDDI SHAFII

  1. IDDI SHAFII

    mmeambiwa nini na TCU au chuo

    habar .kuna baadhi ya watu majina yetu yapo kwenye link ya TCU Tumechaguliwa vyuo lakin tukiangalia kwenye list ya majina chuoni hatupo .mfano mm TCU wamenionesha nimechaguliwa UDOM lakin kwenye main a yaliyopo chuon sipo. itakuwaje ? je tutapokelewa? TCU au chuo husika wanasemaje?
  2. IDDI SHAFII

    Nimechaguliwa vyuo viwili tofauti, nifanyeje?

    MUM unaomba chuon direct halaf majina yanapelekwa TCU kupitishwa
  3. IDDI SHAFII

    Nimechaguliwa vyuo viwili tofauti, nifanyeje?

    habari . naomben ushauri wenu ,round ya kwanza niliomba TCU UDSM, DUCE,MUCE, UDOM Nikakosa , round ya pili cjaomba tcu nilienda MUM kuomba chuo direct mum wakanichagua , jana tcu wameonesha vyuo na faculty tulizochaguliwa .nimeangalia TCU wamenichagua UDOM bach of arts with education. naomben...
  4. IDDI SHAFII

    Provisionally selected na sikuomba round ya 2 TCU

    ahsante kaka kweli nimeangalia nimechaguliwa vyuo viwili tofauti UDOM na MUM
  5. IDDI SHAFII

    Provisionally selected na sikuomba round ya 2 TCU

    nimeangqlia waliochaguliwa MUM round ya pili nipo
  6. IDDI SHAFII

    provisionally selected na sikuomba round ya 2 TCU

    habari . round ya 1 nilikosa .round ya 2 niliomba TCU halaf nikafuta program zote kwenye profile yang .nikaomba MUM direct chuon bila kupitia TCU. ss hv nikiangalia profile Yang TCU nimeandikiw you have provisionally selected. au mum wameshapeleka majina yetu TCU yamepitishwa
  7. IDDI SHAFII

    Provisionally selected na sikuomba round ya 2 TCU

    habari . round ya 1 nilikosa .round ya 2 niliomba TCU halaf nikafuta program zote kwenye profile yang .nikaomba MUM direct chuon bila kupitia TCU. ss hv nikiangalia profile Yang TCU nimeandikiw you have provisionally selected. au mum wameshapeleka majina yetu TCU yamepitishwa
  8. IDDI SHAFII

    Maombi ya kujiunga MUM hupitia TCU?

    siku hiz ni science na technology . ukipiga sim unajulikan upo wap na ukitaja index no tu matokeo yako ,jina lako,shule wanajua na huwez kuwadanganya wanathibitisha on line particular unazotaja zinaendana na zinazoonekana kwenye computer system. ukichaguliwa unawapelekea copy original na vyeti...
  9. IDDI SHAFII

    Maombi ya kujiunga MUM hupitia TCU?

    Maombi yana anza chuoni halaf yanapelekwa na chuo TCU kupitishwa. ingekuwa hayapitii TCU wanafunz wasingepew mkopo na boom ya serikali . na TCU wanajua process za mum
  10. IDDI SHAFII

    Direct cost vyuoni zinalipwa zote kwa pamoja?

    mm nimechaguliw Bach of arts with education
  11. IDDI SHAFII

    Direct cost vyuoni zinalipwa zote kwa pamoja?

    Habari Wana-Jukwaa! Naomba msaada wenu mtueleweshe kuhusu Direct Cost vyuoni. Zinalipwa zote kwa pamoja siku hiyo hiyo tutakapofika vyuoni? Maana vyuo vingine Direct Cost wameandika Tsh. Milioni 2.8 kwengine Tsh. milioni 3 Je zinalipwa zote siku hiyo hiyo au unaweza kulipa nusu? Ahsante
  12. IDDI SHAFII

    Nani wa kulaumiwa juu ya suala la mkopo

    Hakika mungu analipa hap hap dunian. unawezaje kuwatukan maskin kisa hawana uwezo wa kuwasomesha watoto wao. hiv unajua kwamba kuna watu hata mlo mmoja kwa cku unapatkana kwa shida. mungu anakuona
  13. IDDI SHAFII

    Second round TCU inatoka

    kwa wale mliokosa first round TCU kuwen wavumiliv TCU wafanye kaz zao kwa umakin sio kaz rahisi kuwapanga wanafunzi .tunatarajia wiki ijayo selection zitatoka na kila aliyeomba atalidhika na matokeo
Back
Top Bottom