Recent content by Idd Mkanza

  1. I

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Wananchi wa kata ya Mwandiga walalamika kukosa maji

    Umarufu wa zitto na kujitapa kote ni mbunge wa Taifa jimbo alokaa miaka yote hiyo....hata Maji hakuna. Hahahaha
  2. I

    JamiiForums Tanzania Je, kuna kiumbe mwingine mwenye uwezo kama mwanadamu? Part 1

    Kiongozi nimekuelewa point yako
  3. I

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya vijana wa chama cha Wananchi CUF(JUVICUF) imepokea mualiko wa kuhudhuria mkutano mkuu wa baraza la vijana la Chadema Taifa

    Jumuiya ya vijana wa chama cha Wananchi CUF(JUVICUF) imepokea mualiko wa kuhudhuria mkutano mkuu wa baraza la vijana la Chadema Taifa (BAVICHA) unao tarajiwa kufanyika tarehe 09/December/2019 Kwa kuzingatia umuhimu wa tukio hilo JUVICUF tumethibitisha na kukubali kuhudhuria mkutano huo muhimu...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Prof. Lipumba: Tunamtaka Mkapa aungane na CUF kuhimiza utekelezaji wa mapendekezo ya Tume huru

    Baraza Kuu limeguswa na yaliyomo ndani ya Kitabu Cha Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu BENJAMIN WILLIAM MKAPA ikiwemo uhitaji wa Tume Huru ya Uchaguzi, kusononeshwa kwake kadhia ya mauwaji ya tarehe 26-27, January 2001. Ili kuthibitisha alichokisema katika kitabu chake, Baraza Kuu linamtaka Mhe...
Back
Top Bottom