Idd Mkanza
New Member
- Nov 23, 2019
- 4
- 0
Baraza Kuu limeguswa na yaliyomo ndani ya Kitabu Cha Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu BENJAMIN WILLIAM MKAPA ikiwemo uhitaji wa Tume Huru ya Uchaguzi, kusononeshwa kwake kadhia ya mauwaji ya tarehe 26-27, January 2001.
Ili kuthibitisha alichokisema katika kitabu chake, Baraza Kuu linamtaka Mhe. Mkapa aunangane na Chama cha Wananchi CUF kuhimiza utekelezwaji wa mapendekezo ya Tume huru