Recent content by idawa

  1. idawa

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Michezo ya wakubwa hiyo, unafikiri shinikizo la USA kwa Ukrane kukubali mpango wa amani ulioandaliwa na Urusi lilikuwa bure?. Urusi kaachiwa Ukren USA kabeba venezuela, wakubwa wanajua jinsi ya kugawana vifa
  2. idawa

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Michezo ya wakubwa hiyo, unafikiri shinikizo la Trump kwa Ukrane kukubali mpango wa amani ulioandaliwa na Urusi lilikuwa bure...Urusi kapewa Ukrane, USA kaachiwa venezuela.
  3. idawa

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Michezo ya wakubwa hiyo, unafikiri shinikizo la Trump kwa Ukrane kukubali mpango wa amani ulioandaliwa na Urusi lilikuwa bure...Urusi kapewa Ukrane, USA kaachiwa venezuela
  4. idawa

    PostGE2025 Admin wa group la umoja wa Madaktari Tanzania atekwa

    Tunatafuta muafaka wa kitaifa huku tunaendelea kutekana...hakuna tunavhokifanya
  5. idawa

    Je, Tulia Ackson kususa ni anajisafisha ili agombee Urais 2030?

    Kifupi ni kwamba mfumo haumtaki, hizo zingine mbwembwe tu
  6. idawa

    Wikiendi hii chukua muda wa kuangalia hizi SPY MOVIES 6 na hautojutia

    Mbona ya kwako hujaitaja El Cohen..
  7. idawa

    Hii ndio VPN na faida zake. Je, ina msaada wowote kwa Taifa?

    Watu hawatumii vpn kwa ajili ya usalama, bali kwa ajili kupeana habari... Umekuja kutisha watu sio.?
  8. idawa

    Lazima Kutakuwa na Wafanyakazi wa TCRA Wanaoendelea Kutumia JamiiForums kwa VPN

    Huko x serikali nzima inaingia kwa kutumia vpn, sasa sijui wanaposti asome nani...
  9. idawa

    TFF ongeeni na bodi ya uwanja Zanzibar mtoe taarifa kwamba uwanja wa amani upo kwenye marekebisho mtume CAF

    Mkiendelea kupiga siasa mechi inapelekwa Rwanda hii shauri yenu.
  10. idawa

    Unasafiri kwenda Ulaya kutazama uefa halafu bado timu inafungwa. Je, huna kazi za kufanyia pesa zako na huku umeajiriwa?

    Kifupi kijana huna hela, tafuta hela na connection......huyo analipiwa..na huyo ni mkongwe kwenye uandishi
  11. idawa

    CCM ndicho chama kilicho na Demokrasia bora na yenye nidhamu kubwa kuliko vyama vya upinzani Tanzania

    CCM wana Demokrasia dola, bila Dola CCM hawana lolote.
Back
Top Bottom