Recent content by idawa

  1. idawa

    JamiiForums Tanzania Tatizo sio kwamba Watanzania wanataka vurugu Watanzania wanataka tu option ya kuchagua

    CCM walishafanya utafiti wakaona wakiruhusu hilo swala, mikoa na miji yote yenye ushawishi inaenda upinzani… hivyo hawafanyi kwa bahati mbaya.
  2. idawa

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Jamaa kwake siasa ni biashara, ana msemo wake maarufu hakuna Adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu
  3. idawa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Tundu Lissu iliyopangwa kusikilizwa Juni 11, 2026 yaahirishwa hadi Julai 6, 2026

    Hapa inaonyesha Lissu bado kashikilia bomba, hataki mambo ya kando
  4. idawa

    JamiiForums Tanzania Uingereza wasalimu amri

    Ulaya kwa Urusi hawana jeuri sema ni viburi vya kipuuzi
  5. idawa

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Kwamba Patrobas Katambi ni wa kupewa wizara nyeti kama hii kwa usalama wa taifa?

    Hawataki mtu anaekubalika kuliko wao..
  6. idawa

    JamiiForums Tanzania Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Michezo ya wakubwa hiyo, unafikiri shinikizo la USA kwa Ukrane kukubali mpango wa amani ulioandaliwa na Urusi lilikuwa bure?. Urusi kaachiwa Ukren USA kabeba venezuela, wakubwa wanajua jinsi ya kugawana vifa
  7. idawa

    JamiiForums Tanzania Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Michezo ya wakubwa hiyo, unafikiri shinikizo la Trump kwa Ukrane kukubali mpango wa amani ulioandaliwa na Urusi lilikuwa bure...Urusi kapewa Ukrane, USA kaachiwa venezuela.
  8. idawa

    JamiiForums Tanzania Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Michezo ya wakubwa hiyo, unafikiri shinikizo la Trump kwa Ukrane kukubali mpango wa amani ulioandaliwa na Urusi lilikuwa bure...Urusi kapewa Ukrane, USA kaachiwa venezuela
  9. idawa

    JamiiForums Tanzania Nani anamiliki fedha nyingi kati ya serikali na wananchi wake

    Imenifikirisha sana hii
  10. idawa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Admin wa group la umoja wa Madaktari Tanzania atekwa

    Tunatafuta muafaka wa kitaifa huku tunaendelea kutekana...hakuna tunavhokifanya
  11. idawa

    JamiiForums Tanzania Je, Tulia Ackson kususa ni anajisafisha ili agombee Urais 2030?

    Kifupi ni kwamba mfumo haumtaki, hizo zingine mbwembwe tu
  12. idawa

    JamiiForums Tanzania Tumefikia hatua kutaja haki ni kuwaudhi watawala wa nchi hii

    Unaonekana mjuaji
  13. idawa

    JamiiForums Tanzania Wikiendi hii chukua muda wa kuangalia hizi SPY MOVIES 6 na hautojutia

    Mbona ya kwako hujaitaja El Cohen..
  14. idawa

    JamiiForums Tanzania Hii ndio VPN na faida zake. Je, ina msaada wowote kwa Taifa?

    Watu hawatumii vpn kwa ajili ya usalama, bali kwa ajili kupeana habari... Umekuja kutisha watu sio.?
  15. idawa

    JamiiForums Tanzania Lazima Kutakuwa na Wafanyakazi wa TCRA Wanaoendelea Kutumia JamiiForums kwa VPN

    Huko x serikali nzima inaingia kwa kutumia vpn, sasa sijui wanaposti asome nani...
Back
Top Bottom