Hiki ndicho chama kikongwe barani afrika kinachosimamia haki na utu wa mwafrika.vyama vingi barani afrika vimefata misingi bora ya CCM...wanachama wake wanafata misingi ya kuheshimiana na kupendana...hawajui matusi...hawajui ugomvi....wao wamefundishwa maadili.mara nyingi CCM wanazomewa na...
Huku wanachama na wapenzi wa ukawa wakijadili kuhusu hatima ya nccr,hatimae vikao vingine na vyombo vya habari vyaendelea...nini tuamini?mwenyekiti?k/mwenyekiti?katibu mkuu wa nccr?duh?
Ukawa wabishi sana,tuliambiwa kwamba migogoro ndani ya ukawa imekwisha,mbona hapa kahama mjini vyama vyote vimesimika wagombea udiwani?ina maana kura tuzitapanye?jamani eeh!sisi wapiga kura mnatuchanganya!!!!!afu upande wa ubunge nashuhudia Chadema wamesimika jimbo la ushetu,jimbo la kahama...
Msanii wa kizazi kipya Mr.Nice amelazwa ktk dispensary ya Frorida mjini kahama...Ndugu jamaa na marafiki tunaomba msaada wenu kwani hata kula anakula kwa mpira na choo pia anatumia mpira..fika dispensary ya Frorida mtamkuta...
Mgombea ubunge kupitia CHADEMA jimbo la Kahama Mjini,amejikuta akipatwa na ububu baada ya kushindwa kuhutubia ktk mtaa wa Zongomela.
Inasemekana pia mitaa mingine amejikuta akikosa watu na kuingiwa na hofu kubwa kwamba hizo ni dalili za kupigwa na mtemi wa Kahama a.k.a Dangote wa Kanda ya Ziwa...
hii imetokea juzi kwenye uzinduzi wa chama cha nccr...kwenye majimbo ya ushetu na kahama....viongozi wa ukawa wamekuwa wakitupiana maneno makali,huku bwana juma protas wa chadema akionekana kuwapa kisogo nccr ....baada ya nccr kuweka mgombea jimbo la ushetu na chadema nao wakaweka...pi ktk...
Jimbo la Ushetu Wilayani kahama lina Wagombea wanne wa vyama vya CCM, CHADEMA, NCCR, ACT. Ila kinachoninganya mimi ni kwa sisi wapiga kura ambao tunaunga mkono ukawa,je huu muungano ni huko juu tu?
Kwanini huku majimboni hamuelewani? Pia nimeshuhudia viti vya madiwani vyama vyote vinavyounda...
Ndugu wanajamvi mpaka hivi punde tuko polisi hapa mjini Kahama kufatilia vurugu hizi.
Lembeli azalilishwa na kundi la vijana CHADEMA wamwambia atoke hapo ofisini kwani CDM ina wenyewe.
Tutaendelea kujazana zaidi kinachoendelea.
Huzuni yatanda mtaani,chadema ikipigwa uchaguzi...enyi akina timu lowassa mtaziweka wapi sura zenu....najua wengi wenu mmeahidiwa madaraka...ila kifuatacho ni kushuhudia Chadema ikisambaratika...wengi wenu hamtavumilia kwenye ujenzi wa chama na lowasa wenu........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.