Hii ya kutajana majina humo bado sioni ni sawa japo kuwa kweli watajwa hapo juu wakawa na hizo ishara zote za kupenda rushwa ila wapo watakao wataja watu kwa maslahi yao binafsi hira zao binafsi wivu wao, kama mtu anahusika mambo kwa ushahidi wapelekeni kwenye vyombo vinavyopambana na rushwa,
Ni mazuri niliyojifunza kwa baba na mama hasa katika kusaidiana kwenye mengi na ndoa yao imekua bora nami nilisema haya ndiyo maisha nayataka ukiwa na positive mind inatokea,nawaminisha wanetu ndoa ni nzuri mkiwa na mtazamo wa kusaidiana
😆😆😆wewe hujui kupika utajua kupika kwenye ndoa hakuna ubabaifu,mnapokutana kila mmoja alikua kwenye nyumba ya wazazi wake so kila mmoja ana upishi au ladha ya aina yake so ni kufundishana tena mnapika pamoja mkiwa pamoja jikoni huwa sipendi dhana ya kuwafanya wakina mama kama punda sio nzuri...
Mnataka mke afanye kazi kama punda na bado mnadai na tendo la ndoa?akikunyima ugomvi unaaanza, manaa anakua anachoka kwa mikazi uliomuachia yani ndoa isiwe ya mwanamke tu bali yenu wote kila kitu mfanye pamoja na mauroda unapewa vyema kabisa sasa mnapelekesha mke kama punda utakua sawa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.