Recent content by Iceberg9

  1. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Kabisa kaka siri za marafiki walioshibana huwa vyema sana na ziwe baina yenu ,kuna wakati life inakuletea mapichapicha unatakiwa uwe na msiri wako unatafuta wa kumwambia akushauri au mtu tu akusikilize ,nzuri hiyo
  2. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    ni vizuri kuwa na mtu wa kumuelezea mambo yako msiri wako usije ukafa kabla ya wakati
  3. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu kuenjoy maisha bila mwanamke, inawezekana lakini ni vigumu

    Mwanamke ni kiumbe muhimu sana
  4. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Umeendika kwa uchungu sana mkuu na pole sana,
  5. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Kwa mwanamke kuwa shy ni sawa ila wanaume hapana aisehh mnatia aibu mwanaume serious unakua unaogopa kutoa sera zako unaogopa kukataliwa hii kitu ni ya ajabu sana
  6. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Uoga huo mkuu sio kila mtu muoga hivyo mkuu, wapo wanaume ni waoga ajabu sasa kwanini umuogope mwanamke
  7. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Kwanini Adam.......?

    😂😂😂😂😂 sawa mkuu
  8. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Sijaona shida au kosa mpaka sasa hivi la kuchukiwa kwa Dr Emanuel nchimbi yale mazuri wananchi tunayoyataka ni kama ccm haitaki
  9. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Uta enjoy mkuu 😂😂😂😂 tena kabisa akili ikishajiachia unakua huru tofauti na hali ya kumfuatilia mwenza wako kila wakati,kwasababu mwenza wako akishaamua kukusaliti hata iweje huna namna ya kumzuia
  10. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Kwanini Adam.......?

    hakuwa nyoka wa kawaida, alikuwa kiumbe mwenye akili kubwa, uwezo wa kuongea, na kwa hakika alikuwa na miguu ya kutembea wima kabla ya kulaaniwa
  11. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya makubwa kuliko Marais wote Tanzania ila vijana wameharibiwa na Mange Kimambi

    Uchawa hufunika uwezo wa akili
  12. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anachekesha kama si mtu wako wa karibu

    endelea kuamini unachoamini sio lazima tufanane
  13. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Kwanini Adam.......?

    Ndiyo nimekuambia kuwa ni mambo ya kibiology kuwa unapoona maungo ya kike, ubongo wako unatafsiri picha hiyo kingono, ubongo unamwaga kemikali ya Dopamine (kemikali ya hamu na motisha) na kuchochea tezi kutoa Testosterone (kichocheo kikuu cha hamu ya ngono kwa wanaume na wanawake). Kemikali hizi...
  14. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Kwanini Adam.......?

    Hapa ni kisayansi sasa sio kiimani ni hisia tu hormones huchochea kuleta msisimuko na hormone zilizomo kwa mwanaume zinachochoea haraka zaidi
Back
Top Bottom