Kabisa kaka siri za marafiki walioshibana huwa vyema sana na ziwe baina yenu ,kuna wakati life inakuletea mapichapicha unatakiwa uwe na msiri wako unatafuta wa kumwambia akushauri au mtu tu akusikilize ,nzuri hiyo
Kwa mwanamke kuwa shy ni sawa ila wanaume hapana aisehh mnatia aibu mwanaume serious unakua unaogopa kutoa sera zako unaogopa kukataliwa hii kitu ni ya ajabu sana
Uta enjoy mkuu 😂😂😂😂 tena kabisa akili ikishajiachia unakua huru tofauti na hali ya kumfuatilia mwenza wako kila wakati,kwasababu mwenza wako akishaamua kukusaliti hata iweje huna namna ya kumzuia
Ndiyo nimekuambia kuwa ni mambo ya kibiology kuwa unapoona maungo ya kike, ubongo wako unatafsiri picha hiyo kingono, ubongo unamwaga kemikali ya Dopamine (kemikali ya hamu na motisha) na kuchochea tezi kutoa Testosterone (kichocheo kikuu cha hamu ya ngono kwa wanaume na wanawake). Kemikali hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.