mkuu dah na ndiyo uzuri wa kujitambua hasa ukiijua thamani yako kwenye soko la ajira hutababaishwa na boss au kampuni na wapo watakao kutamani wakuibe kampuni uliopo ukafanye nao kazi
unajua shida yako ni moja tu unataka kunilazimisha niwaze kama unavyowaza wewe acha mihemko,
wenye akili waliwaza itakuaje iran na usa wakikutana?kitakatokea nini, hii mechi inaleta msisimuko ni kwasababu ya hali ya vita ya kimasilai na siasa kati yao ndiyo maana kila mtu amewaza hivyo wewe...
🤣🤣🤣 hebu unisimulie basi mimi sikufukuzi kanisani share experience basi,ila hapo kama umenielewa nimemaanisha kama wewe tu ila nikasema ni mapenzi yanakua ya ukweli sana sema mwisho wao huwa inapelekea hadi kuchanganyikiwa wakiachana,
couple inajingiza kwenye matumizi ya bangi huwa wana real love na mzuka muda wote,sema mwisho waku huwa mbaya maana love yenyewe ni kams kilevi ukichanganya na kilevi cha bangi huwa wanachanganyikiwa kabisa wakiachana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.