Recent content by Iceberg9

  1. Iceberg9

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Mipasuko kwenye ndoa ina athari kubwa sana kwa watoto
  2. Iceberg9

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Utoke unakimbilia wapi? Kwani huko unapokimbilia ndiyo kuna unafuu[emoji23][emoji23][emoji23] ni mfumo ndoa inapibgwa sana na shetani maana ndipo kwenye mfanikio hasa ukimpata mtu sahihi bibilia inasmea ukimpata mwenza umepata kibali machoni pa bwana, Sasa watu hawatoki kwa sababu ya matunzo ya...
  3. Iceberg9

    Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro uboreshwe

    Upo sahihi na ukitazama hiyo zone ni ya kitalii wageni ni wengi, ila hata hizo ndege kama pre*** ni kama boti ndege zenyewe zinatia huruma, wizara husika waboreshe usafiri wa anga na miundombinu yake
  4. Iceberg9

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    Umaarufu pia wa Gadna umepelekea hivyo
  5. Iceberg9

    Hii vita kati ya mwanadamu na shetani ni vita ya uonevu(haina usawa na haki)

    Vita si ya kwako vita juu ya shetani ni vita kati yako na Mungu wewe tulia fuata amri zake uksaidie kupigana vita na jeshi lake, wewe
  6. Iceberg9

    Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

    Wanaume tumeumbiwa kuhangaika kuwa watafutaji... Ukianza kuomba for back up kwa mwenza wako unaanza kuwa dhaifu na lege lege na familia kuyumba
  7. Iceberg9

    Enyi wanawake acheni ligi na wanaume mtaumia

    Au muitengeze then akupe kiasi kidogo.... Maana huruma inakuja ana mkopo na ndiyo biashara inayomuingizia kipato muone huruma mlegezee
  8. Iceberg9

    Enyi wanawake acheni ligi na wanaume mtaumia

    Muweke discount kidogo hahaha, ila nimejuuliza alitoka nayo ya nini kwenda kulingishia tu mambo mengine banah
  9. Iceberg9

    Unaenda katika nyumba za ibada ili ufaidike na nini?

    Mungu bana ni lazima ajengewe madhabau ya watu kwenda kuabudu kusujudu na kuomba mambo mengi, na katika wengi Mungu baba nae yumo
  10. Iceberg9

    Minjingu: Gari yenye namba bandia za serikali yakamatwa ikiwa na wahamiaji haramu

    Kuwasafilisha hao wahamiaji haramu inalipa kiasi gani
  11. Iceberg9

    Hivi kwanini Mungu ana wivu?

    Uzi umevamiwa na wapinga kristo wanaoamini Mungu hayupo
  12. Iceberg9

    Hivi kwanini Mungu ana wivu?

    Ukiambiwa umeumbwa kwa mfano wake unaelewaje
Back
Top Bottom