Recent content by Iceberg9

  1. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Kwamba jf ni sehemu ya kupata haki na kuwasilisha lalamiko hapo unatafuta nini labda
  2. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Hii ya kutajana majina humo bado sioni ni sawa japo kuwa kweli watajwa hapo juu wakawa na hizo ishara zote za kupenda rushwa ila wapo watakao wataja watu kwa maslahi yao binafsi hira zao binafsi wivu wao, kama mtu anahusika mambo kwa ushahidi wapelekeni kwenye vyombo vinavyopambana na rushwa,
  3. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Vyombo vya kupambana na rushwa vipo,wakilisheni malalamiko yenu sehemu husika
  4. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    😂😂 haya napunguza ushauri ili muangamie huko
  5. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Michache tu ila ni kama mpya😀
  6. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Ni mazuri niliyojifunza kwa baba na mama hasa katika kusaidiana kwenye mengi na ndoa yao imekua bora nami nilisema haya ndiyo maisha nayataka ukiwa na positive mind inatokea,nawaminisha wanetu ndoa ni nzuri mkiwa na mtazamo wa kusaidiana
  7. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    😆😆😆wewe hujui kupika utajua kupika kwenye ndoa hakuna ubabaifu,mnapokutana kila mmoja alikua kwenye nyumba ya wazazi wake so kila mmoja ana upishi au ladha ya aina yake so ni kufundishana tena mnapika pamoja mkiwa pamoja jikoni huwa sipendi dhana ya kuwafanya wakina mama kama punda sio nzuri...
  8. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Mnataka mke afanye kazi kama punda na bado mnadai na tendo la ndoa?akikunyima ugomvi unaaanza, manaa anakua anachoka kwa mikazi uliomuachia yani ndoa isiwe ya mwanamke tu bali yenu wote kila kitu mfanye pamoja na mauroda unapewa vyema kabisa sasa mnapelekesha mke kama punda utakua sawa kweli
  9. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Msaidiane mkuu kama unaweza pika msaidie upike hujaoa housegal umeoa mke,na hayo mengine yapo ndani ya uwezo wako
  10. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Kaka unajua unarahisha sana mambo au ndiyo umefika hatua mbaya zaidi?
  11. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    😆😆 hilo andiko ni kali sana hapo Mungu alitaka kukuonyesha kuwa dhambi ni chukizo kwake mpaka anasema kama jicho lakuingiza hatiani dhambini litoe😆😆
  12. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Bado hujatamani kuacha,ukitamani tu hutaweza kuona ni kazi
  13. Iceberg9

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Sawa nawatakia kila jema katika ndoa yenu nendeni mkawe mfano
Back
Top Bottom