Wewe ulishasoma Urusi au unabwatuka tu na elimu yako ya desa hapa TZ . Rank za elimu ulimwnguni urusi i one of the best education nzuri sana. ha hakuna ubabaishaji . ndiyo maana wana high tech nyingi sana sana.
jifunze kufanya utafiti kidogo kabla hijaandika
Kimbale Computers and Business Consultancy (KC&BC) inakuletea Software nzuri sana kwa ajili ya ku endesha biashara yako kwa unafisi zaidi kwa kutumia technologia ya kisasa zaidi.
kwa maelezi zaidi piga simu 0742-655765 au tuma E-mail kimbalecomputers@yahoo.com
karibuni vyote
Mfumo wa ulipaji kodi kwa tanznaia sio rafiki sana kwa walipa kodi . mlipa kodi anaonekana kama mtuhumiwa na mfanyakazi wa tra hata akivaa tsheet ya tra anaona kama adhabu fulani mtoza ushuru . tujifunze kwa nchi kama singapore wanafanyaje.. watu wanabata huduma boraaaa...
Ninahitaji kijana wa kudesign website nzuri sana awe na laptop
na awe na sample aliyo design yeye
atume e-mail : kimbalecomputers@yahoo.com
karibu
kimbale computers
USIKIMBIE MAJUKUMU watafutie Card ya BIMA tunza wote mungu atakulipa usimkimbie mchepuko fanya ubinadamu kidogo... wewe mwache azae kwanza ndiyo umueleze baada ya kuzaa kaa miezi kama 3 hivi basi
Hapo kuna issue nyingine ya Business IT aligment sio kuwepa mazingira ya IT tu ila je IT inaisadiaje businesss ili uwesze kutoa services inatotakiwa kwa jamii nzima . Kwa mfano Tanzania Kupanda Bodaboda its a high risk kwa maisha yetu lakini kwa wenzetu...
Hi JF
Tatizo liko kwenye staff recognition . Mimi nikifanya kitu kizuri kwa tanzania je nitakuwa recognize ? kwa wenzetu ndiyo wanafanya hivyo hata ukienda urusi mpaka mitaa yao wanaipa majina ya watu walionya nchi yao kwenda mbele ile ni kisiasa kitechnologia ...
Hai Wadau ya JF
Kuhusu TEHAMA katika nchi ya Rwanda ni kwamba wataalamu wake karibia wote wametokea Tanzania katika chuo kikuu cha Dar na hasa kwenye kitengo cha computer (UCC) na moja wapo wa mkugenzi wa UCC aliwasaidia sana kutengeneza IT strategy plan ya...
Haya Jamaa Kwa Clouds kwa ujumla hawako innovative kabisa kwani kuonyesha kipindi kama hicho ni kuishiwa ubunifu kwa kweli na kuna vitu vingi sana vya kuonyesha , na vya kuifushisha jamiii. kwa mfano hata kuwa na topic ya why move from 3g to 4g unaita...
Hi JF
Natafuta Secretary wa mkuu wa shule iliyoko mbeya mbarali awe na uwezo wa kutumia computer vuzuri sana na atapewa nyumba ya kukaa huko shuleni. na mshahara ni maelewano vizuri sana.
tuma CV yako kwa kimbalecomputers2000@gmail.com
deadline ni 20/6/2016
Jamani Wadau wa JF
napenda kutoa duku duku langu kuwa niliajiriwa kwenye shirika la umma X kwa zaidi ya miaka 11 sasa hivi ila tangu mwaka 2011 mpaka leo hatujaongezewa mshahara hata sent tano. na tukiulizwa tunaambia hali ya shirika ni mbaya kwa miaka sasa naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.