Recent content by IBWEIJEWA

  1. I

    Majina ya kizungu yalivyoharibiwa na waswahili

    kwa habdeni mkuu umetudanganya. Handeni ni jina a kizigua likimaanisha otesheni.planting
  2. I

    DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

    wameshaanza hila zao. wameliahirisha bunge bila kuisoma taarifa na haieleweki kua jioni itasomwa au la.
  3. I

    Double Down: Bunge Likiendelea na Mjadala Majaji wa Mahakama Wote Wajiuzulu

    mzee wa k katumwa huyo. namuona mda na post zake za kinafki. hao ndio wanaoshauri serikali utumbo siku zote. kwa sasa wananchi tumechoshwa na sheria zenu aambazoo siku zote zinakuja wakati wanajitetea ila wakati wananchi wanadai mambo yao sheria huwa haipo ila maagizo ya viongozi ndio yanatumiwa...
  4. I

    Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni

    kwa mujibu wa maelezo ya mwanasheria wa standard Advocates leo asubuhi kwenye redio uhuru FM mahakama hawako sahihi wameliingilia bunge.hivyo bunge lipo sahihi.
  5. I

    Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni

    nchi hii hakuna wa kumuamini tena
  6. I

    Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    soma katiba ya jamhuri ya muungano 1977 100(1) kuhusu madaraka na haki za bunge utajua kua mahakama hawana uwezo huo. usipotoshe watu mzee mwanakijiji
  7. I

    Yaliyojiri Mdahalo wa Katiba: Jumanne, Tarehe 25 Novemba, 2014

    nadhani yanayotokea marekani wanataka yatokee hapa wananchi kuzichoma nyumba mitaani na ofisi kwa kutoridhika na maamuzi ya mahakama kwa mauaji ya kijana mweusi. sasa hawa mafisad wa TZ wanataka tuingie mtaani.
  8. I

    Mahakama Kuu imesimamisha mjadala wa Ripoti ya Escrow kujadiliwa Bungeni

    Dawa ya hii mahakama ni kuichoma moto tu hatuwezi kukubali kuiona ikitummiwa na wezi kutunyanyasa namna hii. hivi Rais naye anahusika nini? mbona yupo kimya kiasi hiki? vijana tusikubali wakitoka bila mjadala huu tunawawajibisha.
  9. I

    Mashamba ya miti ya mbao yanauzwa

    tupia hata dondoo za bei basi mkubwa. hecta moja inauzwaje?
  10. I

    Mashamba ya miti ya mbao yanauzwa

    tupia hata dondoo za bei basi mkubwa. hecta moja inauzwaje?
  11. I

    Mashamba ya miti ya mbao yanauzwa

    tupia hata dondoo za bei basi mkubwa. hecta moja inauzwaje?
  12. I

    Nahitaji mke wa kuoa

    mtulivu na mchamungu, awe na upendo na watu. zaidi ya yote muelewa
  13. I

    Nahitaj mume!

    usijali utampata hivi punde
  14. I

    Natafuta mchumba

    Usijali dada watakuja
  15. I

    Nahitaji mke wa kuoa

    Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.
Back
Top Bottom