Vipi ile taarifa ya CAG (Mhilu) ya mwaka 2009 kabla ya hajawa rais. Je, wahusika wa wizara ya ya Mambo ya nje ambayo ni kati ya wizara zilizoongoza kwa kutafuna. alikasirika.
Ingawa Mkullo simpendi tokana utendaji wake. Lakini yupo sahihi. Kwani hajawahi kutokea tangu enzi za JK wa ukweli kupata baraka za CC.
Mwenyekiti anachemka ile mbaya, labda angekuwa ameomba baraka wakati wa uteuzi ningeona mashiko kidogo. Mbona tangu EL ajiuzuru jamaa anapwaya ?
Pia nakumbuka JK alituambia pale jakwani kuwa vyama vya upinzani vinafanya kazi uchaguzi ukikalibia. Sasa magamba wamemsikiliza JK, CCM wanaanza kupinga hatua hiyo.
CCM sisi wananchi tunawapima kwa uwezo wenu wa kupambanua mambo, na kusimamia yale nayotolea maamuzi.
Mimi sielewi ile historia ya Shule ya msingi inawasaidia nini ? endapo mesahau kuwa Nyerere alianza siasa akiwa shuleni hadi chuoni tena akiwa mwanafunzi hadi alipokuwa mwalimu.
Jamaa ni vuvuzela. Lokipulizwa tu kama kawa halina mipaka wala kupambanua misingi ya hoja.
Nimeshangaa aliposema kuwa hoja ya ubadhirifu ni ya CCM. Wakati watu wote wanajua kuwa ni ya Bunge (Bila ya kujali imetolewa na mbunge wa chama gani). Pia eti wao wapo 78% wangetaka wangeimaliza.
Swali...
Jamani mimi labda sikuelewa vizuri.
Nakumbuka kuwa serikali ilipiga marufuku siasa katika vyuo vikuu na kwamba ikionekana mwanafunzi anajuhusisha na siasa atafukuzwa shule. Sasa hii sielewi imekaaje ? au kwa ccm Ruksa
Hawa jamaa sio Wazalendo kabisa. Sasa hizo nyumba za serikali walizopewa waishi si wangeziachia ili wakae akina Nahodha. kwa kweli uchoyo bwana.
Then, wanasema Dr. wa Ukweli hana uzalendo.
Kwa hili Mawazili wote wana Mahekalu. Mzee wa data (Klm za barabara) yeye ndiyo Kamaliza
Lakini, hizo biashara na nyumba zake tume ya maadili ya viongozi wanazijua ?. Kama ni nyumba za kifahali na zenye bei mbaya viongozi wengi wanazo. Hofu yetu ni kwamba wamezionyesha kwenye orodha ya mali walizonazo ? Na hii, kabla ya kuwa waziri na baada ya kuwa waziri.
Kama ana Biashara je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.