Wewe ni mgonjwa.. Na tiba ya ugonjwa wako ni kunywa maji ya betri... Hivi wewe unafanya kazi na mie nafanya kazi.. Mie ni boyfriend tuu sio mumeo.. Kama starehe tunafanya wote na raha twapata wote, vipi unigeuze kuwa mzazi wako kwa kila hitaji? Khaaaa... Hivyo vitu vizuri ntavikuta mbinguni...
Kwakuwa ni tetesii. End of the day huwaga ni tenesi... hakuna haja ya kutokea povu jiiingi hapa msimu wa usajili utamalizika InshaAllah itafahamikaa na kama kuna umbea ndani yake ataumbuka.. ila nijuavyo mie young africans ni kubwa kuliko mchezajiiii...
Na mchezaji akishaanza kujiona yeye...
Broo.. kama umesoma freshi masuhala ya udini yapo pembeni ila ukikurupuka utaona ni udini.. kila nafsi hujitetea yenyewe kutokana na mkasa inayokutana naoo.. hii ni hadithi fupi ya maisha yake na fikra zake alizieleza kwa wahusika pale paleee
Mmhh. Hamna mwenye lipyaaa. Sasa hivi hatuangaliii kuwepo kwa mabadilikoo tunataka ccm itoke kabisaaa kama ni mabadiliko tushabadilisha mh. Mwinyi hadi mh. Mkapa then mh. Mkapa akamwachia dr.jk sasa sithani kama kuna haja ya kubadili tena kiongozi.maana tushabadilisha saana sasa hivi tubadilishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.