Recent content by Ibrahim300

  1. Ibrahim300

    Microsoft kuleta intaneti kwa mamilioni ya Watu Afrika kupitia satelaiti

    Microsoft si kampuni ndogo kama unavyodhania haswa ikija katika maswala ya digital. Computer karibu zote Africa zinatumia microsoft windows.
  2. Ibrahim300

    African Satellite World and Sat Gear

    Nigcomsat inapatikana kweli Kenya? Has anyone tracked it and what dish size?
  3. Ibrahim300

    African Satellite World and Sat Gear

    Hi people. Which satellite hosts free kids English channels??? And is anyone accessing MBC MAX on 7w?
  4. Ibrahim300

    Mchele wa Tanzania Wazuiwa Kuingia Kenya

    Humu ndani watu wanajipiga vifua buree...ishu ni kuwa Kenya iko mbele kiuchumi. Uzuri ni kuwa Tanzania nayo inafuta unyo unyo. Hio pdf inaonyesha kuwa Kenya iko ranked number 5 in Africa kwa utajiri. Details kadhaa soma hio ripoti ujue uchumi umefikia wapi baina ya Kenya na Tanzania ikiwemo nchi...
  5. Ibrahim300

    African Satellite World and Sat Gear

    Has anyone succeeded in upgrading the old zuku decoder via OTA? I want to watch the fta channels on ses-5... Has anyone tried it? My decoder restart when it reaches 75% upgrade
  6. Ibrahim300

    Majangili yaitungua helikopta na kumuua rubani huko Maswa

    dunia imekuwa majanga. Uindaji haramu tuache
  7. Ibrahim300

    Changamoto za kupata wachumba wa mtandaoni

    Maoni yangu unaweza kumpatia pesa za vocha kwa mawasiliano....zaidi ya hapo unamwambia uko broke
  8. Ibrahim300

    Jamani wandugu mie domo zege, sijui nifanyaje siwezi kutongoza

    jibu rahisi. Google 'Jinsi ya kutongoza' utapata blogs tofauti tofauti ambazo zimejikita spesho kufundisha kuhusu kutongoza.
  9. Ibrahim300

    African Satellite World and Sat Gear

    i just confirmed from someone. U need to have a tv combo box for it to work with a decorder
  10. Ibrahim300

    African Satellite World and Sat Gear

    Has anyone tried to use a dvi-vga cable to connect a decorder to a pc monitor? Ive brought a g*tv and its unresponsive to my dell monitor
  11. Ibrahim300

    Hatua 6 za kumzuzua mwanamke

    Kipengele cha atm hicho hakiwezi kumzuzua akili, ukiishiwa na pesa atakuacha tu
  12. Ibrahim300

    Hatua 6 za kumzuzua mwanamke

    Huyu ni mwanamke wa kisasa ambaye anawezakuwa mchepo ama ukamfanya true love mwishowe
  13. Ibrahim300

    Hatua 6 za kumzuzua mwanamke

    Nimeiona hii post kwa blog flani nikashindwa kujizuia kuiweka humu. Ukweli usemwe. Ndoto ya kila mwanaume katika hii dunia wakati mmoja au mwingine hufikiria kuwa na kipawa cha kuweza kumzuzua mwanamke yeyote anayemzimia. Uzuri ni kuwa hauhitaji kuwa tajiri ama kuvutia ili uwe na kipawa kama...
  14. Ibrahim300

    Hivi Corazon Kwamboka Ndiye Dada Mwenye Makalio Makubwa Afrika?

    Nimekuwa nikipitia pitia kwa mitandao tofauti nikisoma habari kuhusu huyu wakili Corazon Kwamboka na jinsi waandishi tofauti wa blogs wana maoni kumhusu. Well, yaonekana kuwa Corazon Kwamboka ndio jina jipya na latest katika blogsphere. Infact amekuwa akipigwa darubini kuanzia blogs za...
Back
Top Bottom