Ndugu zangu mi nilipata ajari ya moto nikatibiwa hospital baada ya kupata nafuu niakaruhusuwa ila nilikua na kidonda nyuma ya mguu kwenye msuri nimejitaidi sana ila mpaka leo hakijapona kina zaidi ya miezi 3sasa na nikijaribu kutembea umbali mrefu mguu huo unavimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.