Recent content by Ibrah wa kiwira

  1. I

    JamiiForums Tanzania Watanzania mngependa Paul Makonda Ateuliwe na Rais Samia Katika nafasi ipi ya uongozi katika serikali ijayo 2025-2030

    Ccm hata akisimamishwa pungwani atashinda tu, ccm imewateka wengi, wengi wameshakubali kuwa koloni la ccm, ila IPO siku, yaja upesi, ccm itapoteza Kila kitu, itaangika kama ufalme wa baberi
  2. I

    JamiiForums Tanzania Maswali tunayopaswa kujiuliza kama Taifa baada ya kujua watoto wa Lissu ni raia wa Marekani

    Ivi unadhani Kuna kigogo ambaye watoto wake wanakula dagaa wa mwanza na ugali muhogo vinavopatikana tz? Wako zao mambele huko, wakija tz ni study toure tu, wanakuja kutusangaa cc nyani Kisha wanarudi zao US, MAUBERGJ UKO, we Baki na mawazo Yako ya kipuuzi
  3. I

    JamiiForums Tanzania Watanzania mngependa Paul Makonda Ateuliwe na Rais Samia Katika nafasi ipi ya uongozi katika serikali ijayo 2025-2030

    Sio wote, wapo wasomwelewa kama Mimi vile. Angekua tunu kwangu kama angeforce mahakama zitoe haki, tena Kwa wakati. Kuwasikiliza wanainchi kero zao husasani zinazoihusu mahakama au mifumo ya utoaji haki, na wakati yeye Hana mamlaka za kimahakama, anatwanga maji mukinu
  4. I

    JamiiForums Tanzania Watanzania mngependa Paul Makonda Ateuliwe na Rais Samia Katika nafasi ipi ya uongozi katika serikali ijayo 2025-2030

    Sifa ya kwanza awe muungwana kama alivyo Makonda, mtetezi wa wanyonge, unyonge uliosababishwa na ccm. Sifa ya pili awe kada wa ccm
  5. I

    JamiiForums Tanzania Kama Makonda ameshapokea Kero kwa Wananchi wa Mikoa 20 na Ripoti ataiwasilisha kwa Rais Samia, kuna haja ya Chadema kuandamana?

    Makonda anashughurika na matatizo ya mwanainchi mmoja, mmoja Lakini CHADEMA anashughurika na chanzo kinachosababisha matizo kwa wanainchi, Kwa ajili ya kizazi Cha Leo na Cha kesho. Je nani ana thamani kwangu/kwako.? Tunataka mifumo imara, ambayo haitegemei mtu mmoja. Leo makonda yuko...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Rais Samia nakuomba uisikilize clip hii ya Ngurumo, kuna kitu cha msingi utakigundua

    Umeongea point mwanzo Hadi mwisho
  7. I

    JamiiForums Tanzania Nimejisikia uchungu sana nyimbo za taifa zilipopigwa wakati mechi kati Kili Stars vs Zanz Heroes inaanza

    Acha kuzingua bana, ulikua hujui au unaigiza???? Uvccccccm ndo mlivyo. Unatafuta Kasi ya kuhamia Kwa Wadai katiba
  8. I

    JamiiForums Tanzania Walimu ebu ipe thamani elimu yenu

    Walimu tunacopy kwenye oxford, tie, fundamental book na vitabu vngine. Kaz yetu kubwa ni kufafanua kilichoandikwa. So kuandika andika sio issue kwetu.
  9. I

    JamiiForums Tanzania Aliyeona CHADEMA wakitoa misaada kwa wananchi wa Hanang kama walivyofanya CCM naomba aniwekee hapa picha au video yake

    Ivi unajua hata janga hili serikali (ccm) ilipaswa ilaumiwe????
  10. I

    JamiiForums Tanzania Walimu ebu ipe thamani elimu yenu

    Kabla cjajaajiliwa nilikua nalipwa 100000(deproma) sikua peke yangu. Iyo ni mwaka juzi 2021. Ukishahitimu chuo tu. Tunagawanyika, Kuna watoto wa matajir wao wanaenda kusimamia miradi ya baba zao, wengine wako maeneo yenye fulsa nyingi so wataajirika hata Kwa malipo madogo yenye uafadhar, wa...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Aliyeona CHADEMA wakitoa misaada kwa wananchi wa Hanang kama walivyofanya CCM naomba aniwekee hapa picha au video yake

    Shida tuliyonayo watanzania hususani ccm ni kutumia majanga kama hili la hanang kama kadi ya kisiasa, ndo maana mkaleta green gurd kuzoa tope,
Back
Top Bottom