Recent content by iboyamwaka2020

  1. I

    Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

    Ndiyo muwe na akili sikuzingine mkiambiwa mkaandamane msikubali unafikiri waliopoteza maisha akati wa kura walipofanya maandamano si kama vile wamejinyonga tu wenyewe ona sasa watu wanaenda kula kuku kwa mrija wakigongeana glass na mwinyi wewe umekaa nyumbani unauguza mguu uliokatwa kwa uzembe...
  2. I

    Zitto Kabwe: Mwanasiasa atayenufaika na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK)

    SASA unaukubali ubunge wa zawadi na umakamu wa azawadi eee?? si ulikuwaga mbishi wewe imekuwaje tena
  3. I

    Dr. Bagonza: Mkandamizaji wako wa jana hawezi kuwa mkombozi wako wa leo

    huyu bagonza sijui nani alimpa huo u dr. ni mropokaji sijawahi ona sasa hivi anaona aibu mpaka basi anachokitetea kimebuma
  4. I

    Akili mukichwa: Wengine wakimbia nchi wengine wakimbilia Bungeni Dodoma

    Njaa tu hiyo bado wasemea kwenye keyboard nao watakaa kimya kama kina sky na erythrocyte
  5. I

    Halima Mdee, Mwenyekiti wa BAWACHA aidha ajiuzulu au aondolewe haraka kabla hajaleta madhara kwa Chama

    Huo ni mpango wa Mbowe hayo unayoyasema mkuu hayawezi kufanyika abadan mbowe anajuwa kila kitu hebu watokee waseme hiyobaruaya majina kwenda kwa nec imefojiwa tuone wasiposema hivyo mjue ni mbinu za mbowe hizo
  6. I

    Mume wa mtu ananilazimisha nizae naye

    du kumbe kaanza muda mrefu kutoa matangazo ya kuolewa?
  7. I

    Kama CHADEMA ina mbunge halali aliyekwishaapa bungeni kwanini hawa wengine 18 inawazuia? Ushamba mzigo!

    sijui hao walioingia bungeni jana ndiyo wake zetu hahahahaaaaa nacheka kwa zaraaaaauuuuu poleni sana kina sky na erythrocyte
  8. I

    Kama CHADEMA ina mbunge halali aliyekwishaapa bungeni kwanini hawa wengine 18 inawazuia? Ushamba mzigo!

    hahahahaaaaaaa sky bana ulikuwa unaongea utumbo jana wakati ukijuwa kabisa hao chadema siyo wenzako unayofikiria wewe wenzio wako tofauti hiyo saccos ya mbowe wewe unweka msuli kabisa kuitetea ndiyo maana unazeeka wakati bado kijana toka huko kwenye stress karibu nyumbani kumenoga uwe kijana...
  9. I

    GE2020 Catherine Ruge: Kwa mateso haya niliyoyapata, siwezi kusaliti chama changu na Wananchi wangu wa Serengeti walioniamini

    upuuzi mtupu unaandika insha ndeeeefuuu upuuzi sasa hapo mchezo mchafu kafanya nani bunge? au chadema wanachezeana mchezo mwenyekiti hamhusishi katibu anaamua kivyake
  10. I

    Je, Kati ya Halima Mdee na John Mnyika nani mkweli sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

    akitokea myika au mbowe kufanya press kuuelezea huu usaliti walioufanya nahama nchi hapo ni aibu tupu tamaa ya pesa na wamewafanya wafuasi wao vilaza wa kutupwa yaani ningekuwa na kadi ya chadema ningeitafuna nikaimeza kabisa isionekane walafi tu hawa
  11. I

    Kama CHADEMA ina mbunge halali aliyekwishaapa bungeni kwanini hawa wengine 18 inawazuia? Ushamba mzigo!

    hapo kwenyewe wanataka sana kuleta hayo majina lakini mbowe anataka mkewake aingie na wengine kibao yaani mnagombea fito mapema hivyo mkipewa nchi si mtapigania uwaziri
  12. I

    Kama CHADEMA ina mbunge halali aliyekwishaapa bungeni kwanini hawa wengine 18 inawazuia? Ushamba mzigo!

    baraka ya chama ni kupewa kadi na kupewa bendera kupeperusha kwenye uchaguzi ulitaka apewe baraka gani au mbowe ampe yale maji yake ya baraka anawapaga kina amdee?
  13. I

    Kama CHADEMA ina mbunge halali aliyekwishaapa bungeni kwanini hawa wengine 18 inawazuia? Ushamba mzigo!

    KWANI WA VITI MAALUMU WATAKWAMISHA MAENDELEO YA JIMBO GANI HAPO NI KAMA KAZAWADI TU KWA KINA MAMA
Back
Top Bottom