Mkuu ulitaka labda chama kifanye nini kuzuia hali hii.
Mkuu umesahau ya akina Lijuakali, Mwambe na wengineo?Unavyofikiri wewe, speculation..wakifukuzwa uanachama wanakuwa siyo wabunge. Hakuna kifua hapo labda Kwa vioe sasa hivi hakuna sheria inayofuatwa
Uko sahihi, ila najua BAWACHA bado itakuwa imara hata bila Mdee.Rafiki wa kweli mtamjua wakati wa njaa!! Atakuja adui atawatupia mfupa kuwapima imani yenu... ni kweli hapo ndipo utajua kiwango cha mshikamano wenu kikoje...
Huo utaratibu umesaidia nini toka enzi za kuunga juhudi mpaka kina Mdee? kufukuzwa leo itasaidia nini,unadhani CCM itawaacha wafukuzwe?Chama kina taratibu zake za kupata habari na kuzifanyia kazi may be huu ndio muda mwafaka wangefukuzwa mapema watu wangedhani wanaonewa.
kwamba ccm hawakujua kama mateka wao wataweza kufukuzwaUnavyofikiri wewe, speculation..wakifukuzwa uanachama wanakuwa siyo wabunge. Hakuna kifua hapo labda Kwa vioe sasa hivi hakuna sheria inayofuatwa
Si wewe tu, wengi hatukuamini kama Halima Mdee anaweza kuwa kirusi ndani ya chama, yes Kigogo alionya ila wengi wengi hatukumwamini. Yametimia.Mkuu binafsi sina imani na CDM kama chama makini au taasisi imara....
Picha ingenoga zaidi pale Mbowe na Mnyika wakiteuliwa kwenye zile nafasi za wabunge
Yote hayo ndio mnayaona leo? je tukiwaita wanafiki tutakuwa tumekosea? hizo ngonjera zako hazisaidii kitu,leo ndio mnamuona Mdee hana nidhamu afukuzwe,mlipokuwa mnaambiwa huko nyuma kuwa Mdee hana nidhamu hatukisikia mkitoa mapovu hayo sabuni ya FOMA.Nidhamu katika taasisi yeyote ile ni jambo la msingi sana, iwe sehemu ya kazi iwe jeshini, kwenye biashara, pesa zako bila nidhamu huwezi kufanikiwa...
Wewe toa ushauri sio kila wakati lawama ili uonekane unabusara nani katukana hapa.Kila mkipewa ushauri huwa mnatukana na kudhania wote ni CCM
Sio sifa hii
Wewe toa ushauri sio kila wakati lawama ili uonekane unabusara nani katukana hapa.
Huo ni mpango wa Mbowe hayo unayoyasema mkuu hayawezi kufanyika abadan mbowe anajuwa kila kitu hebu watokee waseme hiyobaruaya majina kwenda kwa nec imefojiwa tuone wasiposema hivyo mjue ni mbinu za mbowe hizoNidhamu katika taasisi yeyote ile ni jambo la msingi sana, iwe sehemu ya kazi iwe jeshini, kwenye biashara, pesa zako bila nidhamu huwezi kufanikiwa...