MAWAKILI WASOMI WA SERIKALI WANAWAHENYESHA VIBAYA KINA KIBATALA WANAJAMBAJAMBA TU MAHAKAMANI NA MAPINGAMIZI YAO YASIYOKUWA YAKISHERIA KILA SIK YANA TUPWA
HUYO SHAHIDI KALISHWA MANENO KUJA KUIDANGANYA MAHAKAMA HAPA ANAONGEA MANENO YA KUTIA HURUMA SASAHIVI GAIDI TU HUYO HANA UJANJA TUNDU LISSU KAOLEWA HUKO BWANA WAKE ATAMUACHA NA NANI?
huo ni upumbavu unaousema sasa mvua analeta rais wa nchi? kumwachia mungu ndiye mwenye mamlaka ya kuinyeshea mvua nchi au kuacha yaani hata Mungu humuheshimu? yaani wewe ni takataka kabisa kajifunze adabu
shahidi kafundishwa kuja kusema maneno ya kutia huzuni mahakamani akifikiria yatamuokoa yaani hata aseme alilishwa mavi jela iko palepale hao ni magaidi
huo niujinga namba moja hivi ccm ndiyo wanaongeza bei zavitu?
chadema wanaweza kuleta vitu vya bei nafuu? ulizeni wachumi wawaambie hizi ni vitu vya kawaida hakuwezi kua na rate moja ya bei mwaka mzima
mtabaki kuwa wapinzani chadema kwakuwa hamna akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.