Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Njoo PM nikupe ushauri Bomba,na tatizo hili itabaki historia Kwako.Wapendwa wangu naomba ushauri wenu ktk suala la kufika kileleni (kukojoa), nimekuwa nikihangaika sana tena sana kuhusu hili jambo nina miaka 10 kwenye ndoa yangu sijawahi kufika kileleni hata mara moja. Nasikia stori kwa wenzangu na kuona picha kama hizo za wachina na nyingine kiufupi sifurahi tendo la ndoa nafanya tu kumridhisha mume ila roho inaniuma sana.
Simjui mwaume mwingine zaidi ya mume wangu, ute wenyewe shida yaani hata nichezewe vipi halafu nimekuwa nikilichukia tendo hilo yan siku akisema nasafiri yaani nafurahi kweli
Nimeona nishee na nyie huenda ikawa sababu ya mimi kufurahia ndoa yang
Nahitaji sana msaada wenu ktk hili.