Recent content by ibn juma3 al-qaasimy

  1. I

    Tanzania yakubali kuipatia Kenya madaktari 500 kusaidia upungufu wa Madaktari

    Hiyo ni dalili yakuwa,serikali huenda isitoe ajira kwa zaidi yq mwaka mmoja. Kenya itawafanya madaktar wahuku kama vibarua kuwalipa kidogo kwamkataba wamuda mrefu
  2. I

    CHADEMA hata kama tunajivua kupotea kwa Ben, hili la Mashinji kugawa vyeti msituni linazua maswali

    Mmh, Huu mchezo hauhitaji hasira, Hii ni sawa na ishu ya kibanda namahusiano na chadema...!
  3. I

    Shemeji ulichofanya ipo siku tu

    Shemej yako mkurya anamatatizo ila familia yenu inamatatizo zaidi,nahuenda hayo ndo yaliyompelekea mkurya kumsalit dadako..! **familia yenu haina usiri kuanzia mama mpaka kwa jarome,mpaka nikahis huenda mwandishi anamatatizo yakijinsia. Haiwezekani mamako akitaka kununua boxer yamkwe wake mpaka...
  4. I

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ngoja mi nijaribu kueleza kidogo, Sisi tunaamini quran ni mwongozo kwawatu ie kupitia hiyo twaweza kupata mahusiano yakijamii(maingiliano baina ya mtu namtu), twaweza kujua namna yakuuza nakununua,twaweza kupata mambo ya utawala/uongozi natwaweza kujua mambo yakindani na yakinje..! Nandio maana...
  5. I

    Serikali Piga Marufuku Uingizaji na Taifisha Pikipiki Zote Aina Ya Boxer

    Huenda ikamaliza tatizo lautumiaji waboxer kwamatukio yakihalifu, lakin isimalize tatizo la uhalifu kwa ujumla wake. Ukiachana na utumiaji wa boxer kwenye uhalifu, pia wahalifu hutumia silah zamoto, nahapa ndo pakubwa kuliko kwenye utumiaji wa boxer coz maisha ya watu yamekuwa reheni kwasababu...
  6. I

    Hivi wanawake warembo wamegundua nini kwetu wanaume wa kikurya?

    Of course hata kwenye miji ya huku pwani ,watu wakanda ya ziwa wamekuwa wakiwindwa sana na mabinti, nabaada yakufanya uchunguzi tukagundua yafuatayo:- 1-watu wakanda yaziwa wanasauti yakipekee yenye kuwatambulisha kwenye jamii yoyote...hivyo kuwafanya waonekane kuwa ni wageni. 2-watu wakanda...
  7. I

    Kwa mnaopenda kuvaa shanga kiunoni, someni hapa

    Unachotaka kujitengenezea fursa ili upige dili kanisani??? ##tengeneza zako ukaziuze kwa elf20 coz umeziponya##
  8. I

    Kwa mnaopenda kuvaa shanga kiunoni, someni hapa

    Sijakuelewa, Hayo madhara yote ni psychology...! Na ndio maana hata mwenye kuvaa cheni kiuno huweza kuwa malaya vile vile mwenye kuvaa bikini au mwenye kuweka kipuri kwenye kitovu huweza kuwa kahaba kama ambavyo avaaye kikuku mguuni huweza kuwa changu...! Psychology na perception ya mvaaji ndo...
  9. I

    EXCLUSIVE INTERVIEW! Mada: Tofauti za kiimani kwenye Mahusiano na changamoto zake..

    Siwez kuitest ladha yangu mwenyewe,, naamini unachokisema coz unaongea with experience..!
  10. I

    EXCLUSIVE INTERVIEW! Mada: Tofauti za kiimani kwenye Mahusiano na changamoto zake..

    Mh..! May be alisoma kwenye vitab.. Na story za mashost with no experiment.
Back
Top Bottom