Itoshe tu kesema JF ni bonge moja la platform kuwahi kutokea hapa nchini.
Ni chuo kikuu asee sema tu hakina lecture rooms na hostels
1.kununua na kuagizia bidhaa nje nimejifunza JF
2.Kutumia internet ya bure through vpn nimejifunza JF
3.Machimbo makali ya mitumba na bidhaa kibao mjini bongo...
Mkuu issue kubwa sio mchizi kua na kalio kubwa..
Kinachoacha watu midomo wazi ni kwann mwanaume analikuza kalio tena kwa makusudi..
,, alifanyie nini yan!!
Kama purpose ni kuonesha kwa vitendo the way mazoez yake yalivyo effective kwa nn asiwatumie wanawake ambao ndo target market yake..
Ni...
Kwahiyo unaunga mkono lipi mkuu..
Demu classic ni yupi ?
Mana kwa maelezo yako demu classic ni anaependa hela yan bila mkwanja haumgusi. Na yupo tayar kuahirisha appointment ukiwa unaleta blabla kwenye mpunga ..
Sasa kwa sifa hiyo huyo ndiye malaya sasa ambae hawez akaingia kwenye kundi la...
Kucheza muziki kwangu ni mtihan asee.. yaani hata ile kumove two steps siwezi
Kukaa na simu dakika 3 bila hata kuitoa lock na kushwipe left and right na kuisleep na kuiweka tena mfukoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.