Nafikiri kama jeshi lolote duniani halitengenezi silaha zake lenyewe au kuzifanyia modification inazozinunua, hilo jeshi lisijiingize kwenye vita na US
Shida inakuja pale ambapo mwanaume anatafuta mwanamke wa kutulia nae, na mwanamke anauzoefu akishaliwa anapotezewa, kwahiyo anakuwahi hata ukimkimbia, tayari amenunua dera kwa hela yako
Kama kwa muda mrefu ulijaribu bila mafanikio, basi ujue kuna mwamba kakusaidia kulegeza nati hivi karibuni na bisibisi ya star, ndio maana uliyokuja wewe na kamsumari kako ukafungua kwa urahisi. Iko hivyo
Kuna bwana mmoja alistaafu 2003, akasema soon nakufa, acha nizitafune chapchap hizi hela za kustaafia, leo ni 2026, bado yupo kitaa. Dadekiiii, hela hana, bahati yake alijenga vyumba vya kupangisha, anaishi kwa kodi. Na ni wale ambao walipostaafu walilipwa chao chote
Akikaa pale juu muislamu, chokochoko haziishi. Wakati yupo jiwe hamkufanya maombi wala kuroga, kwakuwa mwenzenu, mnataka kusema enzi za jiwe haki ilikuwa yakumwaga sio, acheni ulofa, kuleni spana mbavu zenu
Kuna wale waliodanganya umri wakati wanaajiriwa, unakuta kaajiriwa na 35 halafu kasema ana 25. Sasa kashafikisha 60 lakini kwenye mifumo anasomeka 50. Tunawaonea huruma humu maofisini, wameshakuwa wasahaulifu, muda mwingi wanalala tu, teknolojia ishawatupa mkono, ni shida bro. Neema za Urais...
Utaratibu wa usafi wa mwisho wa mwezi upo kwa mujibu wa sheria ndogo za utunzaji mazingira almost halmashauri zote nchini wanacho hicho kitu
Kutokujua sheria sio kinga dhidi ya kosa ulilotenda, hivyo kusema mi mgeni, sijui kusoma, sijaambiwa. Haikusaidii chochote.
Kikubwa aende akasikilize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.