Recent content by Iamabdul

  1. I

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Kwa ukiechaguliwa mzumbe morogoro nitafute kwa namba hiz 0656558824 tafadhali
  2. I

    Walichaguliwa mzumbe 2016-2017 second batch

    Kama umechaguliwa mzumbe university morogor naomba nitafute kwa namba hiz 0656558824 tafadhali
  3. I

    Uwezo ulioumbwa nao ni mkubwa sana, fuata amri hizi za Mafanikio

    Mtaji sio pesa tu hata elimu kama hizi ni mtaji tosha wa mafanikio kimaisha
  4. I

    Mbona hakuna mabadiliko ya maisha

    kubadilisha maisha ya waafrika katika nchi masikin kama Tanzania si suala la kukurupuka, linahitaji viongozi imara na ambao hawana woga ktk kutetea masilahi ya Taifa, tushukuru mungu tumepata Rais anaeonekana mwenye nia kama hiyo. ufisadi ktkt nchi za kiafrika ndo jambo kubwa linarudisha nyuma...
  5. I

    Mtanzania Ahmed Albaity mwenye ugonjwa wa kupooza anaendeleaje?

    mungu msaidie ndugu yetu huyu apone na arudi ktk hali yake ya kawaida na utuepushie sisi wengineo magonjwa na mabalaa mbalimbali. ila kuna baadhi ya watu hawana roho ya kibinadamu kabisa, mtu kama hutaki kusaidia hata kwa maombi just kaa kimya hata kucomment potezea sio unaongea mambo yanayoweza...
  6. I

    kwa wale tuliochaguliwa mzumbe main campus

    Mheshimwa mm ni mteule hapo mzumbe ila mpka leo hii bado mipango ya kifedha imekaa ovyo...vp kama nikija j3 kuna any negative effects may occur
  7. I

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    So.738/0066/2012...naomba msaada tafadhali
  8. I

    Nit( national institute of transport)

    Hii cozi ya logistics and trtansport application zake za hesabu zina ugumu wwte kwa mtu aliyesoma HKL au ni za kawaida?
  9. I

    Waliochaguliwa Kujiunga na Kozi za Shahada, Chuo cha Taifa cha Usfirishaji

    Asante kwa taarifa....naomba uniangalizie Athumani Ramadhani Masanga na Abdulkarim Fadhil Kassim ktk Logistics&transport
  10. I

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    thank u boy embu wacha tusubirie..
  11. I

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    Wadau naomba kuuliza wateule waliochaguliwa udsm ni majina hayo pekee au majina mengine yanaweza kuja kutolewa tena baadae
  12. I

    Ghorofa limenifanya nikosane na marafiki pamoja na wakwe zangu

    . ... Hapo mtu wangu umenena maana unapopatwa na jambo jaribu kulifanyia uchunguzi ili upate solution kamili maana wewe mwenyewe ndo unaweza ukawa source ya tatizo linalokukumba.
  13. I

    Wadada punguzeni maringo

    Kashajua usafiri wako ndo njia ya nyumbani anasevu nauli..basi j3 subiri kuchangamkiwa na kukaribishwa lunch kwa madoido kibao ili jion ajikale siti ya ubavuni hapo mpka mbezi... Sasa akili kichwan mwako
  14. I

    Hivi hii hali hutokea kwa wanaume wote au ni kwangu tu?

    Causes ya hilo swala lako 1. Inaweza kuwa huna kazi kwa muda mrefu hivyo maisha kwako ni magumu..2. Upo single haujapata wa kukuliwaza kwa muda mrefu 3.. Kama unafamilia basi itakuta unasumbuliwa sana kwenye familia yako......sababu hizi tatu lazma ndizo naona ndizo zinazokupelekea mno kuwa na...
Back
Top Bottom