Hakuna mtu mwingine ataleta super power na amani hapa Afrika kama sio wewe. Waliotutangulia kama Nkuruma na Nyerere walishasema Umoja wa afrika ndio utaleta uhuru wetu. Shirikisho(federation) ya Afrika au Afrika Mashariki iliyoanzishwa na watu na sio wanasiasa ni mojawapo ya njia ya kuleta...
Sera za DA zinakinzana na maazimio ya wengi SA na Afrika. DA huwa hawapiti 20% ya kura, Sasa hivi ANC ambayo unaita mafisadi imewapa uwezo wa kutawala SA yote na kuwa na uwezo mkubwa sana Afrika kwenye mambo kama BRICS na mambo yote ya nje. Kama ANC ni mafisadi, wote wengetolewa waweke EFF ama...
What ANC has done is absurd and an abomination.
Afrika ilipoteza damu na wakati wake kupigania uhuru wa Africa Kusini. Wenyewe wanawapenda hao walawiti wao hata mitandaoni wanawapenda hao walawiti wao. Wameungana na watu walipenyenza ubepari wa hali juu Afrika kupitia Africa Kusini.
SA is...
Mbona Tanzania hawakuenda kwa mahakama ya EAC kama Uganda walivyo enda huko kuwasilisha kesi ya kutumia Kenya Pipeline kusafirisha mafuta yao? Haya maamuzi yao ni ya hasira na kitoto kulipiza kisasi hivyo.
Cheo chake ni gani? Anataka vita vya nuclear anafikiria vita vya nuclear vitakuwa one sided? Russia pia wanasema wako na hypersonic weapons ambazo marekani haiwezi kugundua angani.
MCA watamkoromea gavana. Wabunbge na maseneta watamkoromea Rais. Maeneo bunge yote ni sawa, yako na idadadi sawa ya watu inchini. Ward pia ziko hivyo. Kaunti ndio tofauti kwa idadi ya watu na ukubwa lakini maseneta wako na kura sawa kwenye Seneti.
Kila kiongozi ako jukumu lake la kikatiba. Ukubwa hatuujali vile ikiwa unatekeleza majukumu yako.
Maseneta na Wabunge ni wawakilishi. Seneta anawakilisha county/gatuzi, mbunge anawakilisha eneo bunge. Gavana ni msimamizi mkuu mtendaji wa kaunti. Kunao pia MCAs wanawakilisha ward ambayo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.