Recent content by I have a dream

  1. I have a dream

    Rais Magufuli: Wanafunzi UDOM waliofeli wakatafute vyuo vya saizi yao

    Kwa mawazo yangu wanafunzi 7000 na kitu ni wengi sana kuwahandle kwenye one direction ila yashatokea , wawachuje then watakaobakia wapelekwe secondary za serikali. Kama wakifail warudishwe.
  2. I have a dream

    Aibu airport

    BUHABU .....Huna jipya na nina wasiwasi na utendaji wako wa kazi kwenye ofisi yako
  3. I have a dream

    Aibu airport

    mara kibao hamna toilet paper na maji hayatoki na harufu mbaya
  4. I have a dream

    Aibu airport

    usilete habari ambazo hazina tija kwenye dunia ya biashara .....cha muhimu TAA warekebishe mambo ambayo hayajakaa vizuri kama hizo Toilet na ziwe zina mvuto na harufu nzuri, AIC zinavuja na hazitoi ubaridi mimi binafsi bananibore kiukweli
  5. I have a dream

    Yanayojiri mitaani dar es salaam, tuungane kwa pamoja kuiondoa CCM 2015

    Leo mida ya saa nne nimebahatika kupita mitaa ya tandale, sinza na kijitonyama na hivi ndivyo hali ilivyo. Wananchi waliokuaa makundi wanasema tuungungane wanachi wote nchi nzima 2015 tuwaondoe CCM madarakani. My take CCM going to 2015 they have to play very smart
  6. I have a dream

    Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

    mkono huo vipi
  7. I have a dream

    Mauaji Ya RPC Mwanza, Barlow

    kinachosemekana jambazi mmoja kajisalimisha police na kueleza habari ilivyokuwa na ameomba ulizi kwa waziri nchimbi
  8. I have a dream

    Wanawake walioko kwenye 30s

    agreed with the topic ......wanawake wa 30s hawana blaa blaa za kitoto more reluxed.
  9. I have a dream

    Mauaji Ya RPC Mwanza, Barlow

    not found ......www.jamhurimedia.co.tz
  10. I have a dream

    Mauaji Ya RPC Mwanza, Barlow

    thanks .....issue siyo uzinifu .....issue ni kwamba uzinifu unaonekana kama danganya toto
  11. I have a dream

    Mauaji Ya RPC Mwanza, Barlow

    Wana jamvi habari za asubuhi, Naomba mwenye updates zozote za mauji ya RPC Mwanza, Barlow au mwenye site ya gazeti la Jamuhuri maana limeandika hiyo habari leo. will appreciate
  12. I have a dream

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Glory to god........xmas njema lema
  13. I have a dream

    Twaweza: Watanzania walio wengi wana imani na Rais Kikwete

    According to their research: Haininiingii akilini kuwa baadhi ya mashirika ya umma yanafanya vibaya then raisi anafanya vizuri wakati yeye ndiye kiongozi wa hayo mashirika ya umma
  14. I have a dream

    Ubaridi wa WAZUNGU kitandani wasababishwa na nini?

    siyo wote wa baridi from my experience
Back
Top Bottom