hahaaa....umeandika maoni yako kwa ufundi mkuu Wa lugha ambao umeniacha mbavu zikiwa hoi! hofu yangu ni kuwa atajibizana nae jukwaani?wale wazee Wa miwani myeusi si watambinya sana kende/kokwa zake?au wataziponda kwa mawe na kuzisigina!CCM ni kupe!!!
Uzi makini sana huu.Watu wanaandika kwa hisia kweli ni wazi wote kwa pamoja tumebamizwa vibaya na uongozi wa bwana yule.Mimi huku unyakyusani nilianza harakati za kuwalisha watu was kawaida unga was rutuba.Kupandikiza chuki dhidi ya zimwi CCM.
Jana nilitia maguu kijiweni kwa mzee wangu mmoja ni...
Jama mwanivunja mbavu nyie...hapa nilipo watu wanishangaa ninavokenua meno yangu makubwa huku nikisindikizwa na cheko La kiutu uzima.Maneno "kolomije na Bashite yanatawala kinywa changu.Anamletea mzaha mwanakijiji mwenza gwajima?
hahahaaaa...mkuu nimecheka hadi machozi yamenitoka.Nikisikia hako kajina kolomije najikuta nacheka tuuu ukiongeza na Daudi Bashite naishia kugalagala down kwa cheko la nguvu...
Mkuu kuna wakati kimba ukilizoea hutoa harufu mwanana tu!Mfano mtu akila maini walau mavi yake yatatoa harufu nzuri ajabu.Ila aliyekula maharagwe au kisamvu...akinya hayo mavi ukiyasogelea utazirai!Ushuzi wake sasa akijamba!Ndio maana gavamenti kupitia wizara ya afya imekuwa kwa muda mrrfu...
*JINA LA RIWAYA: DUNIA TAMBARA BOVU*
*MWANDISHI: (HYUNGNIM)*
Ulikuwa usiku adhimu kupata kutokea kwa mabanati na majamali ya nguvu.Jiji la Bujumbura lilitoa mng'aro uliopambizwa na taa kubwa zikizonasa ktk majengo mazuri ajabu na kufanya nakshi Fulani hivi ya kuvutia.
Nyakati hizi za saa...
Hafijawa Matata alidamka asubuhi na mapema kwani usiku wote kwake ulikuwa kiza cha kuogofya!naaam kaka hafijawa hakupata hata lepe la usingizi.
Aliposikia milio ya jogoo kuashiria kuwa kiza kimefurushwa mbali na nuru,aliruka toka kwenye kitanda duni cha mianzi na kwa pupa akaanza kutatinga...
Alifahamika kwa jina la Anko Mavi!jina hilo la mzaha alilipata kutokana na kazi yake ya kuchimba vyoo,kuvizibua vyoo vilivyojaa lakini pia kuyabeba 'mavi'ooh ashakum si matusi nilipaswa kuandika kinyesi kwenye toroli na kwenda kuyatupa mbali...jina hilo likawa maarufu kuzidi jinale Athumani...
hahahha....bora kupigwa vibao kuliko kuwa na makosa yatakayokupeleka kubinywa kende/pumbu kwa koleo.Au kupondwa mapumbu kwa kutumia mawe!.Mimi pia nimekuwa makini,ila hapo nyuma niliteleza na kuanza kuisiliba gavamenti kwa namna hasi ...kende zangu jama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.