Recent content by Hyera

  1. H

    Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

    Kwa mtindo huu basi kila mtu ni fisadi. Hivi maana halisi ya ufisadi ni nini ? Kuwa na mali, kuiba ama kudhulumu ? bado nimeachwa hapo
  2. H

    Mbowe: Hakuna mbunge wa CCM mwenye ubavu wa kurudia uchaguzi,wote waoga!!

    Lazima washinde huko siondio kwao na chama kimetokea huko ? ulikuwa hujui ?
  3. H

    Deo Filikunjombe: Vyama ambavyo hesabu zao zimekaguliwa ni vinne tu. CHADEMA bado

    Leo ndio unajua kuwa wanasiasa wanatuchanganya ? wenzio tulishashtukia kitambo. Halafu watanzania wenzangu mambo mengine tusikurupuke tu kuchangia inabidi tujiridhishe pia kabla ya kuchangia unaweza kuchangia leo kesho ukaona ulikosea
  4. H

    Kijana ajaribu kuvamia Mwenge wa Uhuru

    Kwa hiyo hoja hapo ni kueneza ukimwi ama matumizi mabaya ya fedha za umma ? kumbuka kuna mambo mengi ambayo yanatumia fedha nyingi za walipa kodi ambayo hayamnufaishi mtu mmoja mmoja. Kwa upande wangu mimi hata uchaguzi wala sioni faida yake maana sipati chochote kutokana na huo uchaguzi. hivyo...
  5. H

    Kijana ajaribu kuvamia Mwenge wa Uhuru

    Sijui kama akili yako imetimia vizuri nahisi kuna hitilafu Fulani. Vile vile jaribu kusoma na kuelewa naona hilo ndilo tatizo lako kubwa. Nadhani kuna kitu kimekuathiri. sihitaji mwenge mimi na wala siuchukii, kwani ukiwepo ama usipokuwepo kwangu hakipungui kitu. Nakuonea huruma sana. Hebu labda...
  6. H

    Kijana ajaribu kuvamia Mwenge wa Uhuru

    Hivi watu wanaongeaaaaaaa ? hivi kama mwenge ukifutwa wao watapata nini ? hangaikieni vitu vya msingi sio kushabikia vitu ambavyo hata wewe havikufaidishi na familia yako kama ulikuwepo basi na uendelee kuwepo. Mbona watu hmzungumzii matamasha mbalimbali ya muziki kama issue hapa ni maadili...
  7. H

    Vurugu kubwa mitandaoni ni sababu ya Januari Makamba na simu zake huko Zanzibar

    Ni kweli adui wa ccm sio vyama vya siasa ila ni watendaji wa serikalini na hao hao ndio watakuwa adui wa chama kitakachochukua nafasi ya ccm
  8. H

    Dr. Slaa awatembelea Majeruhi wa Kijeshi

    Binafsi nampongeza kwani inaonyesha namna anavyojali watu wenye matatizo. Hao si wezi bali ni watu waliojitolea kwa ajili ya Taifa lao
  9. H

    Siipendi CCM, Naichukia CHADEMA ila Namkubali Zitto Zuberi Kabwe!

    Kama ni wizi basi hilo kosa lisihusishe chama chote. la msingi hapo ni chama husika kumadabisha kwa mujibu wa taratibu zao na huo ndio uungwana
  10. H

    Watuhumiwa wa Ugaidi wa CHADEMA watoka wasimulia walivyolazimishwa kusema

    Wajinga ndio waliwao. Msipokuwa makini mtakuta mtu anajifukuza hata mwenyewe kwa vile hajui kinachoendelea nyuma ya pazia. TZ achana nayo kabisa usilolijua ni sawa na usiku wa kiza
  11. H

    Msafara wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda wapata ajali mbaya

    Ni ulimbukeni wa watu watanzania huwa tunafuata mkumbo bila kujijua. Hata wao wajue pia kuna watu wanakerwa nao Mungu sio ndunguru na siku zote dua la kuku halimpati mwewe.
  12. H

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    Napenda sana mimi. unajua kila tukio au tamko la viongozi hasa wa vyama hivi 2 yangekuwa yanatolewa ushahidi na watu tukaona ushahidi nadhani mambo kama haya yasingekuwa yanatokea tena. Tukumbuke kudekezana na kutowajibika kwa pande zote ndiko kunaleta mambo haya na si hapo tuu. ushahidi kama...
  13. H

    TCRA yaiamuru Star Tv kurudi Star Times kabla ya 10 jioni leo!

    "Watanzania watu wa ajabu sana, wako kutetea vitu ambavyo hata anayefaidika hawamjui. Tumezoea mob saikoloji hiyo continental mi nimenunua channel zinazoshika ni 4 tu watu hawalalamiki kwa vile sio wengi walio nayo. Acheni taratibu zifuatwe.
Back
Top Bottom