Dr. Slaa ana uwezo mkubwa sana kielimu kuliko mtu aliyeko madarakan na kuthibitisha hili nimeamua kuonesha C.V yake ya kuonesha kiwango chake cha Elimu na Ufasaha wa mambo yake. Kumbe ni haki awasumbue wana CCM kwa hoja zilizoenda shule kama yeye.
NAWASILISHA.
Mtu aliye nitonya alikuwa Hospitaln hapo jumapili mchana kumuona mama yake nae alikuwa kafanyiwa upasuaji na ndipo alipomuona Rais Slaa akiwa wodini hapo
na kuamua kunipa taarifa huku niliko. na kuhusu ulinzi nilipo uliza nikaambiwa ulinzi ni wa kutosha na ukiongeza wa Mungu ndo unakua imara...
Wadau wa JF kunatetesi kuwa Rais wetu Dr. Slaa amelazwa toka juzi jumamosi kwa tatizo la mkono kuwa kafanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Muhimbili kitengo cha Mifupa(MOI). Tunaomba mtujuze kama ni kweli kuhusu tetesi hizi sisi tulio mbali na Dar es salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.