Recent content by HYDROCHLORIC

  1. H

    KATIBA: CCT nao watoa tamko!

    Safi sana!!! C.C.T
  2. H

    Lipumba anatafuta nini? Mbona anaiandama CHADEMA kiasi hiki?

    Kaka tuletee data kamili............
  3. H

    C.V ya Dr. Slaa hiyoooo!!! Tunaomba na ya JK wa ukweli.

    Dr. Slaa ana uwezo mkubwa sana kielimu kuliko mtu aliyeko madarakan na kuthibitisha hili nimeamua kuonesha C.V yake ya kuonesha kiwango chake cha Elimu na Ufasaha wa mambo yake. Kumbe ni haki awasumbue wana CCM kwa hoja zilizoenda shule kama yeye. NAWASILISHA.
  4. H

    GOOD: DK Slaa atibua mambo kwa Wassira

    Nimeipenda sana zaidi ya sana. RAIS WANGU SLAA NAKUOMBEA UZIMA WA AFYA NJEMA ILI UENDELEE KUPIGANIA TAIFA.
  5. H

    Rais Kikwete mgeni rasmi Tamasha la Pasaka

    Sijakusoma mkuu hapo kwenye red ulikua na maana gani?
  6. H

    Ndesamburo kusafirisha wananchi bure kwenda Loliondo

    Mungu akuzidishie Mheshimiwa Ndesamburo.
  7. H

    Lowassa azungumzia kuanguka kwa Hosni Mubarak

    Kaka tuambie afadhali kwenye uongozi au ufisadi?
  8. H

    Dr. Slaa wodini Muhimbili Hospital

    Mtu aliye nitonya alikuwa Hospitaln hapo jumapili mchana kumuona mama yake nae alikuwa kafanyiwa upasuaji na ndipo alipomuona Rais Slaa akiwa wodini hapo na kuamua kunipa taarifa huku niliko. na kuhusu ulinzi nilipo uliza nikaambiwa ulinzi ni wa kutosha na ukiongeza wa Mungu ndo unakua imara...
  9. H

    Dr. Slaa wodini Muhimbili Hospital

    punguza hasira lengo langu ni kujua hali ya rais wangu nashangaa king kujibu short like that.
  10. H

    Dr. Slaa wodini Muhimbili Hospital

    Wadau wa JF kunatetesi kuwa Rais wetu Dr. Slaa amelazwa toka juzi jumamosi kwa tatizo la mkono kuwa kafanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Muhimbili kitengo cha Mifupa(MOI). Tunaomba mtujuze kama ni kweli kuhusu tetesi hizi sisi tulio mbali na Dar es salaam.
  11. H

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Pole sana tunajua unamaumivu makali lakni MUNGU atakulinda na utapona. Damu yako italipwa.
  12. H

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Hata wakiongeza kama haya 100000000 bado tutaendelea kusimamia kwenye ukweli pia tupo tayari kufa kwa ajili ya maslahi ya taifa na vizazi vijavyo.
  13. H

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Pole sana kaka popote pale ulipo ila unateseka kwa haki na Vizazi Vijavyo MUNGU yu pamoja nawe ipo siku ndoto zako zitatimia.
  14. H

    Dowans yampigilia msumari wa mwisho JK

    Sio aachie nchi ikiwezekana kuondoka kabisa nchini kwetu au afungwe maisha.
Back
Top Bottom