Wakuu naomba mwenye uzoefu na hii filter naomba anijulishe,
1. Ubora wake kwenye kuchuja mafuta ya alizeti
2. Changamoto zake
3 bei yake ikiwa mpya dukani yenyewe uwezo wa 100 litres kwa saa.
Wakuu mwenye uelewa na biashara ya kutengenez bati, "roll forming " naomba tupeane uzoefu.
1. Roll forming machine bei gani
2. Inatengeneza aina ngapi za bati glazed etc
3.uagizaji wa coils na kodi zake.
4.coil moja ntapata mita 3 urefu na upana mita moja ngapi
5.soko la kilimanjaro liko vpi...
Wafugaji wa kenya waliouziwa ng'ombe zao baada ya kuvuka mpaka na kuingia Tanzania, wamelipwa zaidi ya sh billion moja, kila ngombe mmoja serikali ya kenya imelipa sh million moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.