Unaweza lakini pia unahitajika kuwa na documents nyinginezo... Fika benki husika kwa maelezo zaidiKama kichwa kilivyo hapo juu nina shamba langu heka 50 lina document zote naitaji mkopo wa kilimo Je ni benki gani ina weza nipa mkopo haraka na limit ni kiasi gani vipi kuhusu riba nk
Malengo ya MkopoDodoso kidogo kunisaidia maana ndio njia pekee iliyobaki kunikwamua vyeti vikae kabatini tu hakuna nanma
Safi mkuuDodoso kidogo kunisaidia maana ndio njia pekee iliyobaki kunikwamua vyeti vikae kabatini tu hakuna nanma
we jamaa chenga sana, vitu vingi hujui vizuri lakini unajifanyaga mjuaji sana! hapo ulitakiwa kuonyesha ni kwa nn Shamba lake linaweza kumpatia mkopo na sio hvuo vitu ambavyo hata ambae hana Shamba kama dhamana anaweza pata!Malengo ya Mkopo
Marejesho
Vyanzo vingine vya mapato
Leseni ya biashara
TIN
Aina ya biashara
Mapato kwa mwezi
Faida
Mkataba wa pango (si chini ya miezi sita)
Makubaliano na FAMILIA
Kiapo cha mahakama au mwanasheria nknk
Kumbuka benki hawatoi mkopo kwa biashara mpya.. Bali wanatoa mikopo kwa aliye tayari kwenye biashara