Hawa tatzo ni mihemko tu wala hawafuatilii mamb wanaon ufahari kuplay victim mindset ili watu wawahurumie waone wanaonewa, na hata kuchanganua mambo hawawez wameshatekwa kihisia na kifikra......wao ni kupayuka kila mtu akigusa upande wao, yani hawashtuki kwa nn hzo habr zinaletwa nyakati hizi?🤦🏿♂️
Naona sshv mmezidi matumizi ya neno 'chawa' kama self defense na kuplay victim...kwa akili/fikra zenu zilizofungwa msitake kila mtu awaze kama mnavyofikiri nyie...hamko serious na kuangalia maswal sensitive mnaleta ushabik na kuchagua upande, wewe kama unaona huna amani nenda kenya hii nchi...
Tatizo wimbi la vijana huku mtandaoni kila mtu ni expert kweny siasa yani mtu akiwez kuleta kahoja tofauti unaonekana genious afu ubaya wengi wao wala hawajui chochote kuhus maswala kisiasa, uongozi Na hata maswal ya kiserikali yanavyoenda upinzani wameshawaingiza kweny mfumo kuwa kuchukia...
Mkuu mm sijakataa hilo, hii hali ya maisha isiwe ndio advantage ya ww kuhadaiwa mana kwa wetu wengi hawajui na wala hawafatilii serikali inafanya nn na kiuhalisia mambo mengine wala huyawez kuona directly kuhusu mipango na maendeleo yanayofanyika, hii ni process ndefu na kama unavyojua inchi...
Au sio, ww umeshaingia kweny mfumo wao siwez minyana na ww coz unangalia mambo kwa lense ambayo umeshalishwa na kukaririshwa na wapinzani (plus na vibaraka wao waliowatuma) ila bigger picture matatzo yapo kwel ila wala hayak kama unavyoaminishwa ww na ukwl utabaki pale pale wameshafanikiwa...
Hawawez kukuelewa ila ipo siku siku watakuelewa, mtihani anao ila mpka sasa amejua kucheza nao kwa kila namna anavyochezewa na kupangua punch zote kupigilia misumari
Nan kakuambia haitaki kukosolewa? heb acheni kupush narrative zenu kwa kulazimisha na kutaka kufanya serikali ionekane ni onevu(wababe)....yani hiz hoja zimekaa kishabiki tu alafu waonyesha hujui chochote hujui siasa na michezo yake kwa hawa wanasiasa wanayoicheza na haya ndio madhara kushinda...
Bro
Bro tatizo ya haya maswala watu wameshachagua upande na ameshajaa chuki so kila kinachotekea wanataka kujustfy kwa namna yeyote na nguvu yote to feel better for themselves wajione wako sawa na mtizamo wao, yani saa nyengin ni ujinga mtupu mtu kushikwa akili na bila kuchanganua mambo watu...
Siku zote anaye jiona anaakili na kushutumu wenzake (kuwa hawana akili) huwaga siku zote yeye ndio hana akili, na mtu mwenye akili hawez support kibaraka mwenye uchu wa madaraka kiasi kwamba yuko tayari aharibu amani ya nchi ili kutimiza matakwa yake binafsi na waliomtuma
Chuki sio kichocheo na...
Hichi chama kwa bahati mbaya kimejitekea watu wenye chuki tu na kushikwa akili ambao hawana chochote zaid kwenda na upepo mana kikubwa wanachopenda na huu mchezo tu hawajali kuhusu ukwl wala kuangalia maswala ya msingi na hata kubadilishana maneno kwa hoja we ukija na hoja yako tu wao...
Nimeburudika na mziki wangu muda mrefu ila sasa hivi inaleta shida coz nikiwasha inaakaa kidoo linakuja neno "PROTECT" nimefuatilia hii inaonyesha either kuna shoti zile spika zake au kwenye decorder (deki) ila inaonyesha hili ni tatizo dogo tu linaweza kutatuliwa mara moja ningependa kujua...
Ndio hapo mkuu, alafu cha ajabu hiyo namba iliyotuma ujumbe haipatikani siku zote na kuna namba mbili zimewekwa kwenye ujumbe huo ukipiga hapokei (anakata anasema tuma msg) na ukituma message hajibu
Mimi sipendi miujiza hio ndio mana nina wiki ya pili wala sijafuatilia ila nimeona niseme hili...
Habari zenu wadau, nimetumiwa ujumbe kwenye namba zangu mbili tofauti kuwa nilitafutwa muda flani na hawakunipata kwa hiyo wananiomba nifike kwenye ofisi ndogo za hazina ya mkoa.
Mimi binafsi ningependa kujua je hii inawezakana kuwa ni kuhusu masuala ya ajira?
Je, watumishi wote wanaoajiriwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.