Recent content by Hussein Mwanajeje

  1. H

    Msaada mbinu kabambe za kuteka hisia za bint,mwanamke umbebe mzima mzima bila kujali umri

    Aaaaagh! Inakuwaje!? Mtu kutaka kusaidiwa namna ya kufanikisha uzinzi!
  2. H

    Ni mchakato gani unaofanyika katika mwili hadi mtu anazeeka?je kuna uwezekano wa kuzuia uzee ?

    J Njia nzuri ya kupunguza kasi ya kuzeeka (si kuzuia uzee) ni; (a) Usile/kuitwa sana (hakikisha unapokula ugawe tumbo lako sehemu tatu; 1-chakula 2-maji (kinywaji sio pombe) 3-nafasi tupu (upate balance ya kupumua vizuri) (b)Epuka uzinzi (ndani ya ndoa hakuna shida) (c) hakikisha ndani ya kila...
  3. H

    Maumivu ya jino

    Pole,nina ushauri lakini itategemea ulipo! Uko wapi?
  4. H

    Mapenzi yananichanganya

    Mapenzi popote maana yake zinaa ni popote! Wazinifu wanaweza kuonekana washauri wazuri kumbe ushauri was 100% uzinzi. Ndoa si popote...inahitaji utaratbu maalum wenye ridhaa ya wazazi na Mungu pia
  5. H

    Kwanini wengi hukiogopa kifo /kufa?

    Kwa uhalisia asilimia kubwa ya wanaadamu hawakiogopi kifo! M/damu huwezi kuogopa kufa kwani hakijui! Anachokiogopa ni kuyakosa maisha ambayo anayajua na anayo mipango mingi na matarajio!
  6. H

    Dawa ya kitambi hii hapa

    Vibamia! Ni kuanzia nchi (inches) ngapi mpaka ngapi?
Back
Top Bottom