Recent content by Hussayn yahaya

  1. Hussayn yahaya

    Kuna tofauti gani mtu akiomba kupitia TCU na NACTE?

    Naomba nijuzwe kuna utofauti gani mtu akiomba NACTE au TCU? Na je NACTE wanaitaji watu kuanzia ngazi gani na TCU wanaitaji kuanzia ngazi gani pia? N;B kama nimekosea sehemu nisamehe ila naomba majibu sahihi fatadhari! AHSANTENI MUWE NA MCHANA MWEMA.
  2. Hussayn yahaya

    TCU yatangaza alama mpya kwa mwanafunzi kuingia Chuo Kikuu

    Samahani kiasi naomba nijuzwe juu ya utofauti wa kuomba nacte na tcu upo wapi? Na hata ukitaka kuomba kwa ngazi ya cheti pia lazima uombe tcu au uombe nacte?
  3. Hussayn yahaya

    Msaada

    Je na ni sahihi huyo dereva kuhukumiwa huku sisi tunazika bila kujua kesi ilivyoendeshwa?
  4. Hussayn yahaya

    Msaada

    Marehemu alidimama kituoni anasubiri daladala na dereva alikuwa speed sana na mbele kulikuwa na humps na alipomgonga alikimbiza gari yake hospital akaucha mwili wa marehemu chini ukivuja na damu. Alimgonga saa kumi na mbili jioni na hakuweza kumchukua ili amuwahishe hospital mpaka saa tatu za...
  5. Hussayn yahaya

    Msaada

    Naitaji kufahamu juu ya hukumu ya dereva aliyemgonga mtu na kumpotezea maisha?
  6. Hussayn yahaya

    Wananiambia nilipe ada wakati bado NACTE hawajatoa jina kuwa nimechaguliwa

    Nilienda chuo flan hivi dar kuomba nafasi ya kusoma katika chuo chao, Nikalipia form ya kujiunga na pesa ya nacte na wakanifanyia maombi kweli kwenye CAS na wakanitumia user name na password ya CAS. sasa wameniambia nilipie na ada kabisa bila nacte kutuma majina yetu kama tumechaguliwa...
  7. Hussayn yahaya

    Kabila la Wapare maofisini/makazini

    Kwanini wapare tu? Jana nilikuwa nawaambiwa wazazi wangu juu ya kuwa nina mchumba walifurahi sana walivyoanza kuniauliza jina lake na asili yake nilivyowatajia tu kabila la huyo binti kama ni mpare ambaye ndiye mke mtarajiwa walibadirika wakaanza kusema maneno ya tofauti tofauti aiseee nilikaa...
  8. Hussayn yahaya

    MSAADA

    Shukrani @Gambula
Back
Top Bottom