Recent content by huska

  1. huska

    Kwanini Kenya ni maarufu kuliko nchi nyingi za Afrika

    I beg to differ ,Kenya hata vijijini mtandao upo strong.ila tz Arusha na dodoma katikati Hamna network I swear. [emoji1]
  2. huska

    Kwanini Kenya ni maarufu kuliko nchi nyingi za Afrika

    Pole ndugu ,unateseka ukiwa wpi?
  3. huska

    Kwanini iwe Watanzania vs Wakenya na si vinginevyo?

    Mkuu kutokana na statement yako unamachungu ya kuwa mkenya lakini nafasi Hamna kwaiyo pole Sana mkuu .labda tz wakubali uraia Pacha ili upate nafasi ya kuwa mkenya,sio vizuri jirani kuteseka ivi.
  4. huska

    Kwanini iwe Watanzania vs Wakenya na si vinginevyo?

    Mkuu ,me naeza sema ni upendo Kati yetu ,tusipotania tunaona kama tunaboeka,ww hujasikia Ile statement ""jirani Hana unga ,Hana stima anaongea kingereza kwenye Giza"".yaani kati ya watz wote mama Tu ndio ametuweza.[emoji1787]
  5. huska

    Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali

    pole sana mkuu yetu ni maombi tu I hope utasaidika ,never give up .
  6. huska

    Baada ya kunikula kanichunia

    no comment
  7. huska

    Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II

    kila moja anatoa maoni yake kuhusu hii issue na ni sawa ,everyone is entitled to his or her opinion and thats fine.lakini mm yngu ni ombi tu .waliyo kusanywa kwenye dala dala wanajijua, tunawaomba wakirudi nchini kwao ,hamna kufunga barabara kisa msafara wa rais.asanteni sana ni hilo tu.
  8. huska

    Kenya2022 Utabiri: Martha Karua atakuwa Rais wa 6 Kenya kabla ya Raila kumaliza muhula wake wa kwanza kama Rais

    pole sana mkuu iyo haitotokea katiba ya kenya sio kama ya tz uchaguzi itafanya ndani siku 60 kwa niaba ya katiba ya kenya.
  9. huska

    Jamaa mwenyewe kasema Nairobi kumejengwa kushinda Dar es Salaam

    east afrika nchi ni nyingine kwanin mnapenda kucompare Kenya na Tanzania kwani tu kwani izo zingine sio nchi ?acheni madharau .
  10. huska

    Watu wakimya/wapole njoeni tuambiane shida/changamoto zilizotukuta au zinazotukuta

    me generally ni mpole na mkimya na unaweza ukaniweka kwenye hili kundi 100% lakini ukiingia kwenye kumi nane zangu kishari Shari mbona utanitoa kwenye hili kundi tena unitafutie kundi lingine.
  11. huska

    Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

    inasikitisha sana mkuu sijui binadamu siku izi tumekuwa na roho ya ajabu aje,zaidi ya wanyama, ila malipo ni hapa hapa duniani na mungu is very fair ,if you kill by the sword you will die of it .
  12. huska

    Uhamiaji Musoma, huyu mama kutoka Burundi angefariki damu yake ingewalilia

    hakuna uhamiaji wasumbufu kama wa tz ,nimegundua hilo wakuu sijui wanamatatizo gani .sasa huyo mama serious she is not a threat to the nation, kwanin umhangaishe .doesn't make any sense . very inhumane and barbaric shame on them.
Back
Top Bottom