TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,050
- 3,302
Demu anasura ngumu huyo khaaaInakuwaje wanajamvi!
Ruto atashinda kwa kura nyingi Sana tena kwa kishindo lakini hatatangazwa kuwa Rais. Kwasabab Uhuru hatakubali atachakachuwa tu matokeo ya uchaguzi.
Ruto ndie mtu sahihi kuwa Rais wa Kenya. He is simply a presidential material. Natamani na napenda Sana Ruto kuwa rais. He is charismatic and intelligent. Lakini wivu, hila na fitna tu za waovu zitamzuia kuwa rais kama tu Fitna alizofanyiwa Rais wetu Lowasa.
Raila atakuwa Rais wa Kenya (5th president) baada ya uhuru kwa kubebwa tu kwenye uchaguzi. Atamchagua Martha Karua kuwa mgombea mwenza na hatimae Martha Karua atakuwa makamu wa Rais deputy president.
Huu ni utabiri wangu Martha Karua ndie Rais wa Kenya baada ya Raila. Raila hatamaliza muhula wake wa kwanza wa urais na Martha Karua kuwa Rais kwa mujibu wa katiba ya Kenya.View attachment 2194622
Martha Karua the 6th President of Kenya.
Cc zitto junior