Uislaam unatutaka kushirikiana na wasio Muslims katika mambo mengi kama biashara, Uchumi, shughuli za kijamii ,kuwatembelea, wagonjwa na kuwasaidia lakin ukaweka Mipaka kuwa tushirikiane katika yote isipokuwa Mambo ya Kiibada.
Sasa ktk ibada za Kikristo mostly ktk dini yetu ni ibada za Kufru...
Nadhani ni Mtu kuamua kuamini au kuelewa kama ulivyoelewa hapo,
Kosa Moja halihalalishi jingine.
Haraam ni haraam tu regardless itafanywa na wengi kiasi gani.
NA Halal itabakia hivyo regardless itafanywa na wachache kiasi gani.
Kwakuwa baadhi ya Muslims wanakula Nguruze, au ni wazinifu wa wazi...
Waambieni hii dunia ina mwenyewe, hakuwa hata wa kuweza kuangamiza japo kundi la sisimizi, au kulipa manufaa kundi hilo hilo lisipate madhara.
Waache kujipa umuhimu,
Muumbaji wa hata yote tuyaonayo ndio huyo huyo atayeweza kuiharibu.
OVA
Moja ya watu wenye ufahamu mdogo mno wa dini yake ni Sule.
Nadhan angebakia kwenye kumuelezea nyuki na Miti shamba
Uislam halielezwi jambo lolote kwa maoni ya Mtu aonavyo bali tunachukua kilichoelezwa kutoka katika
QUR'AN & HADEETH na pia KUTOKA KWA WANA WA CHUONI WA UMMA HUU.
Sule anatakiwa...
Fanya sana Ibada, kufa kupo na maisha ya hakika yapo Aakhera.
Huko hakuna ujanja ujanja, vile ulivyoishi hapa ndivyo utakavyoishi huko.
Wajanja ,werevu, wababe sana, wasafi sana ,wachafu mno , wasafi, Waumini hawa wote waliishi na tayar wamerejea kwa mola wao
Wakiingoja siku ngumu zaidi katika...
Ikiwa atakufa katika hali hiyo ( yaani akafa hajatubia) atadumu motoni na hakika hayo ni mafikio mabaya kabisa.
Tusighuriwe na anasa na udanganyifu wa dunia
Moto upo na hakika Jahannam inangojea
Kuna Ndege ya ATCL Bombardier inazunguka sana kwenye anga ya Dar bila kutua, nimejaribu kuhesahabu kama mizunguko mitatu au minne.
Je inashida yoyote au kuna iliyoomba emergency landing?
Wajuvi wa hili tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.