Kiukweli hili ni changamoto kubwa sana mimi ni mwezi sasa inasema details not found ukiwapigia wanasema changamoto ipo loan board kwenye mfumo wao na loan board ukiwacheki wanasema rita ndio kuna changamoto kwenye mfumo naona kama mifumo haisomani vizuri na bodi ya mikopo
Ni mkaguzi pia kama wakaguzi wengine huyu anahusika zaidi kwenye ukaguzi hasa zaidi kwenye sector ya elimu mitaala nk ili kuweza kuishaur serikali kwenye angle hyo!
Pole sana uelewa wako mdogo sana au unacikiri nini kufanyike ili sasa wananchi wapaye chomvo kinacho jiyegemea amabcho kinaweza kuwapa taarifa za mapato na matumizi ya nchi yao, mana unataka ifutwe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.