Kwani ndugu ofisi ni lazima uende kimwili, kama napiga simu naongea na wahusika na wananihakikishia tatizo limepokelewa na linafanyiwa kazi (na ushahidi ninao) uzembe uko wapi?
Wanajukwaa wote nakuja kwenu kwa ushauri nichukue hatua gani.
Niliomba fundi kufanya decoder installation mwezi wa tano kutoka kitengo cha huduma kwa wateja. Nikaletewa fundi, wakaja wawili bwana.
Wakafunga decoder, wakati wa kufunga miguu ya tv, tv ikavunjika.
Wakiwa pale mafundi wakaniambia...
Cashout inakupa nafasi ya kutoa kiasi fulani kabla mechi ulizobashiri kwenye mkeka hazijaisha.
Mfano umeweka mkeka wa mechi sita, labda nne zimetiki zinabaki mbili zinazochezwa au zitchezwa baadaye, ukiona muelekeo wa zilizobaki unakutia wasiwasi basi una cashout kilichopo kwa muda huo na mkeka...
Mechi za Uefa na Europa epuka sana kumpa aliyeshinda mechi ya kwanza halafu mechi inayofuata anacheza na timu hiyo hiyo baada ya wiki. Ni mara chache sana timu iliyofungwa kukubali kichapo mfululizo atafurukuta apate hata draw labda timu iwe kibonde kwelikweli au mazingira kama majeruhi, kadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.