Kalipie Bando bhana.Ni udikteta au kutokujiamini!?, mtandao wa X asubuhi hii upo chini!
Vipi wewe, kwako X inafunguka?
Wala hakuna tabu simu zipo mkuuNi udikteta au kutokujiamini!?, mtandao wa X asubuhi hii upo chini!
Vipi wewe, kwako X inafunguka?
Ni vyote, kwani dikteta hajawahi kujiamini!! Na hiyo ndio sifa kuu ya dikteta.Ni udikteta au kutokujiamini!?, mtandao wa X asubuhi hii upo chini!
Vipi wewe, kwako X inafunguka?
Siku uliyoshinda hospital kuhangahikia kusafishwa figo uliingiza sh. Ngapi?Msilete taharuki, hakuna kitakachotokea, mtaacha shughuli zenu za kuwaingizia kipato na kwenda kufanya hayo mazoezi ya kutembea na mtarudi majumbani mwenu mkiwa mmechoka.. siku itaisha bila kuingiza hata sumni mfukoni...
Tusaidiane vpn maana tangu matangazo ya maandamano yatoke, kampuni za simu zimekuwa super low kwenye connection ya data.Tumia JF
Inatosha Sana Sana Tena Ina NguvuTumia JF
Tusaidiane vpn maana tangu matangazo ya maandamano yatoke, kampuni za simu zimekuwa super low kwenye connection ya data.
Jana kuna vipindi hata JF hauipati na ujaiiona upo online with full bando
Twita ndo inakuonyesha barabara ya kupita? Acha visingizio kaandamaneNi udikteta au kutokujiamini!?, mtandao wa X asubuhi hii upo chini!
Vipi wewe, kwako X inafunguka?
Simu Ndio zinaandamana?Wala hakuna tabu simu zipo mkuu
Tutapiga picha, mfano nyie UWT mkiandamana kumpongeza maza mbona huwa mnatumia simu?Simu Ndio zinaandamana?
Tanzania hakunaga Waandamanaji 🐼Tusaidiane vpn maana tangu matangazo ya maandamano yatoke, kampuni za simu zimekuwa super low kwenye connection ya data.
Jana kuna vipindi hata JF hauipati na ujaiiona upo online with full bando
Kwahiyo mnaandamana Ili mpige Picha?Tutapiga picha, mfano nyie UWT mkiandamana kumpongeza maza mbona huwa mnatumia simu?
Kama hakuna waandamanaji, kwa nini mlimuua Akwilina? (RIP)Tanzania hakunaga Waandamanaji 🐼
Acheni visingizio
"Chadema walking and Jogging day " Jan 24, lives physical exercise!Msilete taharuki, hakuna kitakachotokea, mtaacha shughuli zenu za kuwaingizia kipato na kwenda kufanya hayo mazoezi ya kutembea na mtarudi majumbani mwenu mkiwa mmechoka.. siku itaisha bila kuingiza hata sumni mfukoni...