Kila biashara ina changamoto zake lkn kabla fanya Research hasara haikosekani na faida haikosekani muhimu upate madereva wazuri na ukiweza usitoe mkataba ukitoa mkataba kila kitu juu yake haitengenezi anaua injini mwisho wa siku anaua chombo na mkatab hamalizi mm nakwambia ivo nilipita apa apa...
Wick nashkuru sana nilipita hapa nimeweka hela kidogo kwenye bii biashara nashkuru kwa msaada wako,kuna siku ulisema kuna kampuni inakusimamia chombo chako kama ukishindwa unaweza kunipa maelekezo mazuri zaidi
Kila biashara ina changamoto mbona kuna watu wanafanikiwa kwenye bodaboda wanamiliku mpaka 20,mm ni mmiliki nnazo kadhaa mbona changamoto za kawaida tu.
Vizuri sana mbona nimeskia bodaboda hawakati bima kubwa mm nimenunua zangu nimeulizia nimeambiwa hawakati bima kubwa,bodaboda kweli ukipata dereva asiejua maisha utalia tatizo letu wengi wetu tukiona vijana wamekaa maskani tunawapa bodaboda wengine hawawezi kazi bora utafute mtu aliesota na...
Biashara zote pasua kichwa hakuna biashara rahisi bodaboda mbona wengine wanafanikiwa na magari hivohivo na maduka hivohivo hakuna biashara rahisi muhimu ni kujipanga tu na kukubali changamoto,mfano bodaboda mpaka inakamilika mpya ni kama 2500000,dereva kila wiki hssabu 50000 service inategemea...
Huo ni mtazamo tu kila biashara ina changamoto Nissan civilian mil40 hesabu kwa siku laki 1 baada ya mwaka mil 36 bado service bado kupigwa bao wastan kwa mwaka unapata 25 mil kila biashara ina changamoto zake dogo au unaijua kuna biashara haina changamoto ni faida tu tuambie na ss.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.