Recent content by Hummaira

  1. Hummaira

    Mwanaume kamili, unakuaje mmbea aisee?

    Pole sana lakini hakuna watu wanapiga umbea na kusengenya watu kama mtu na mkewe hata umbea wa ma best friend unapigwa hapo...kama kuna mengine ulikua unamwambia hujayasikia ni vile hayakukufikia tu. Wanaume mjue tu wake wa rafiki zenu wanawachekea lakini wanawachora mno kwa mengi [emoji28]
  2. Hummaira

    What are random interesting facts about yourself?

    1. I survived a very toxic marriage and One thing u won’t ever believe is that I still love that man it’s just that I can’t go back and stay with him anymore but he was the only guy I ever loved in my entire life
  3. Hummaira

    Breaking bad series bora kwa muda wote

    Its the best series ever [emoji119] nilisikitika sana na kifo cha hank, he didn’t deserve to die Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. Hummaira

    Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

    Ukiona unadharauliwa jiangalie wewe kwanza mara mbili mbili, halafu usijibiwe wewe ni nani kwani..hayo maisha yaliishia mwaka 90. Ss hvi maisha ni magumu bado upate na mwanaume anajiongelesha eti anakunyoosha kwa kipigo[emoji23][emoji23] tutanyooshana very well Sent from my iPhone using...
  5. Hummaira

    Weka hapa ngoma yako moja kali ya mapenzi na tueleze kwanini hiyo

    Satisfy you- Pdidy ft R.Kelly Its the best song of all times. Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. Hummaira

    Kujifungua mtoto wiki ya 23

    Sawa Asante sana [emoji1317] lakini sikuwa na presha wala sukari probably ni hiyo cervical incompetence (god forbid) au hizo 50% ambazo hatujui nashkuru sana kwa ushauri. Sent from my iPhone using JamiiForums
  7. Hummaira

    Kujifungua mtoto wiki ya 23

    Shukran sana nitalifanyia kazi [emoji1317][emoji1317][emoji1317] Sent from my iPhone using JamiiForums
  8. Hummaira

    Kujifungua mtoto wiki ya 23

    Asante kipenzi Allahumma ameen 🤲🏻 Sent from my iPhone using JamiiForums
  9. Hummaira

    Kujifungua mtoto wiki ya 23

    Hospitali hawakuweza kunipa jibu la moja kwa moja walikua wanafanya tu assumptions wakisema ni cervical incompetence lakini bado sio kwa uhakika Sent from my iPhone using JamiiForums
  10. Hummaira

    Kujifungua mtoto wiki ya 23

    Habari za mida, natumaini wote mpo sawa mnaendelea vzr na majukumu ya ujenzi wa nchi. Ndugu zangu juzi nimepata bahati mbaya ya kufiwa na mwanangu niliemzaa akiwa na miezi 6 tu. Naumia sana niliitafuta hii mimba kwa miaka miwili lakini namuachia Mungu na namshkuru kwa yote [emoji1317]...
  11. Hummaira

    Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

    Ndoa zina maumivu sana hamna mtu anaweza kukuelewa unajiskiaje unless na yeye awe amewahi kuumizwa na ndoa, pole sana lakini I believe mnaweza kugawana mali kama una risiti za ununuzi wa vifaa zenye jina lako au ushahidi wwte wakati mnajenga labda zinaweza kukusaidia kiasi fulani [emoji1317]...
  12. Hummaira

    Hivi michepuko akili zao huwa zinawatosha?

    Leo michepuko imekua sio tena jamani [emoji25][emoji19][emoji30] mnavoisifiaga humu ndani [emoji119] Sent from my iPhone using JamiiForums
  13. Hummaira

    Kwenu ndg zangu waislam

    Wewe ulioa wapi na ulitoa bilioni ngapi mahari? Unaleta dharau wakati mwenyewe unapeleka kushona mikojo yako iliochanika kwa fundi ungekua mtu sana tungekusikia kwenye malls unanunua nguo.. wanapenda ngono kumbe watu wanaoana wakafanyaje kama sio hiyo ngono Sent from my iPhone using JamiiForums
  14. Hummaira

    Wife kanikamata red handed najiandaa kwenda kula Christmas na mpenzi wangu

    Sasa wewe unaomba ushauri unaambiwa umemkosea mkeo rudi nyumbani mkayajenge unatoa excuses mara upewe ujanja wa kurudi mara na huyo mchepuko ni familia pia.. unaomba ushauri na ubishi na ujuaji mwingi ndo mana ukaondoka kwako kwa lazima sasa uambiwe nini tena bro? 🤷🏼‍♀️ Sent from my iPhone...
  15. Hummaira

    Uzi wa ushuhuda wa wapenzi/wanandoa waliokutana dm/inbox

    Guys haya mambo yanatokea hata mkikutana kanisani... issue sio online kikubwa ni kuomba usikutane na mtu ana tabia chafu tu basi japo kuna kauzembe nilifanya kweli lakini kila kitu ilibidi kiwe kwa sababu ambazo mm mpk saivi sijazijua kwakweli
Back
Top Bottom